Search results

  1. chumanile

    Umewai kuishi maisha ya "Ziro bajeti"Katika maisha yako?Usiombe maisha haya yakukute mkuu

    HABARI WANA JF!NA MEMBEZ WOTE. maisha yana mambo mengi kwa kweli.unayo yajua,usiyo yajua na unayo yafikiria.kuna kipindi binadamu tunapitia mapitio ya hovyo sana na magumu mno.ima maradhi,shida na mateso, FURAHA na nk.ila Leo tuangalia tuliopitia maisha HAYA ya ZIRO BAJETI."nikisema ZIRO BAJETI...
  2. chumanile

    Mkasa wa doctor Mellus Tshube inaumiza sana!

    Kweli MAPENZI Kuna nama yameshikamana na nyama.ni ngumu kiamua maamuzi sahihi kwa sababu hisia huzidi maamuzi yatokanayo na akili.
  3. chumanile

    Je, umewahi kupandikiziwa adui bila kujua?

    Sijawai kupinga hoja zako mkuu.ukweli upo hivyo adui hatari usio mjua.
  4. chumanile

    Orodha ya vitabu nilivyosoma mpaka sasa kuanzia Januari 2022 mpaka Juni 2022

    Napenda sana kusoma vitatu ila ww umenifanya niongeze nguvu ya kusoma zaidi.
  5. chumanile

    Bahati katika maisha inakuja vipi? Au kuna formula? Karibu kwa mjadala

    Swali zuri sana mtoa mada. Mkuu BAHATI ni nini?bahati ni matokeo ya juhudi mbalimbali unazo zifanya katika harakati zako za kira Siku katika kuyakabiri maisha yako.bahati hutafutwa kama unavyo tafuta vitu vingine.kutafuta bahati maana Yake kuweka mipango yako katika njia ya kufanikiwa...
  6. chumanile

    USHUHUDA: Dunia, uchawi umeniacha hoi. Mungu nikumbuke

    Pole mkuu!!mtafute msahana Jr atakusaidi.naamini amesoma bandiko lalo.
  7. chumanile

    Vita ya kiuchumi katika ngazi ya mtu, familia, ukoo na marafiki

    CHANGIA KWA FAIDA YA WENGINE!!TUPO KWA AJILI YA KUPEANA MAALIFA+.BANDIKO LINATUTAALIFU...
  8. chumanile

    Je, unaziona ndoto zako rohoni?

    Uzi wako ni wamaana sana."hua Kuna vitu napata vya maana sana.akubariki mungu kwa kutuongezea ELIMU dunia.
  9. chumanile

    Tunalia hali ngumu ya maisha lakini chanzo ni sisi wenyewe

    Mawazo yako yapo mtaa kwako tu.dunia ni kubwa bro...!!wapo wengi.
  10. chumanile

    Ulipokuwa mdogo ulijitabiria kufanya kazi gani?

    Habari members! Kila MTU anatamani au alipanga awe anavyo taka ima kimaisha wadhifa, kielimu nk. BINAFAI nilipo kua mdogo nilitamani sana nikiwa mkubwa niwe mwalimu kwa sababu niliona mwalimu ni MTU muhimu sana katika jamii. Huwezi kua doctar mpaka ufundishee na mwl Huwezi kua rubani Huwezi...
  11. chumanile

    Elimu ya maarifa: Je, wajua?

    Brother mshana we nimkubwa sana.sio kiumri.bali kiakili,kielimu na kimaarifa.pia ni barikio KUTOKA kwa mungu kukupa maono,fikri pevi .niseme tu unatoa mchango mpana sanaktk jamii yetu...nimalizie na kusema FUNGUA CHUO KAMA LAS SIMBA TUJE KUSOMA ELIMU,NA MAALIFA JUU YA ULIMWENGU.
  12. chumanile

    Umetoka kwenye familia ya aina hii?

    Kwatu tuna uwezo mkubwa wa kifedha KUAZIA upande wa baba ATA mama pia na kwetu tumezaliwa watoto wanne.kaka alisoma Hadi chuo,rkn sioni thamani ya elimu yake.dadaangu ameishi six,mwisho wa siku kaolewa na muuza mifuko k/Koo wanawake mungu anawaona.tokea hapo baba hakuona HAJA ya kuendelea...
  13. chumanile

    Jambo gani linakufanya uamini uwepo wa Mwenyezi Mungu?

    Ww mwenye akili finyu.usiojua mfano na uhalisia. KAMA JINA LIKO LINAVYO SEMA MASIKINI..HANA HOJA ANA HAJA. Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
  14. chumanile

    Jambo gani linakufanya uamini uwepo wa Mwenyezi Mungu?

    Katika watu milioni 14.5 duniani kote wasio amini kua mungu hayupo Ni watu labda 1.35. Tena machizi,wenye mtindio wa ubongo.UKIWEMO NA WEWE MTOA MADA ZA MAVI. swahi Hilo linaulizwa na watoto wenye miaka 3/6.ili kuilisha ubongo wake chakula Cha maalifa KUTOKA kwa mzazi. Sent from my TECNO KC8...
  15. chumanile

    Mdude Nyagali atunga kitabu kuhusu Mateso na unyama aliofanyiwa kwenye Utawala wa Awamu ya 5, kuzinduliwa Machi 5, 2022

    Ivi Kuna asie kua na mapunguvu? Kira ukipitia tawala zote,viongozi wote utakuta jamii furani inalalamika KUHUSU utawala,wa mabavu,uonevyo,unyanyasaji nk.jamii nyingi humpongeza na kumuombea,kwa mema alioyo wafanyia. Ama kweli hii ndo DUNIA NA WALIMWENGU. BIE YA KITABU? Sent from my TECNO KC8...
  16. chumanile

    Wanaowatetea machinga kuondolewa maeneo yasiyo rasmi kwa biashara wana uelewa mdogo

    Uko sahihi brother.tatizo hawaweki mikazokatika Sheria husika.mfano asaivi zoezi linalo endelea ni kuondoa vibanda,na wafanya biashara katika sehemu zisizo rasmi.rakini BAADA ya miezi 6 watu wanarudi tena.kwa Nini tusione wanaonewa?Kama Seria inasema ondoka kwa nini ibadikike na iwe Rudi?tatizo...
  17. chumanile

    Je, kila tajiri hapa Bongo anatumia ndumba (kafara, majini, uuaji n.k)?

    Issue uwakika na hiyo ndumba!unaweza kuchanjwa chale mpaka ukome na usifanikiwe.
  18. chumanile

    Kipi bora kati ya kuajiriwa na kujiajiri?

    Maisha ni mafanikio, haijarishi umeyapata wapi na njia ipi kubwa mambo yaende kwa mtindo unao utaka. Kira mtu ana namna ya kufikia malengo yake. Binafsi nimewai kuajiriwa, pia nimejiajiri. Changamoto ni nyingi katika nyanja na lazma ukabiriane nazo. CHANGAMOTO ZA KUAJIRIWA ni nyingi mno kubwa...
  19. chumanile

    Njia ngumu ninayoipitia

    Mi naamini halimashauli yako ya kichwa iko vizuri.unauwezo wa kujisimamia na kujiongoza,weka mikazo tu.(UKITAKA KUFELI MAISHA KUMBATIA FAMILY,NA UKITAKA KUFANIKIWA KUA MBALI NA FAMILY)
  20. chumanile

    Hivi tunakwama wapi?

    Aisee na sadiki maneno yako.ukiingia ndani zaidi unaweza kusema UVIVU,UJINGA NK. rakini laah mfumo m'bovu wa mango mkakati,ulio ndani ya katiba yetu na uongozi kwa ujumla. Tunakosa uthubu kwa sababu ukithubu hutoona ticha wala mafanikio katika hilo. Ukitaka kujua hilo Mfunga analia Mkulima...
Back
Top Bottom