Habari za jioni,
Nilikua naomba msaada kwa mtu anaejua kuna mdogo kapata III ya 25 lakini selection zimetoka ajachaguliwa kwenda chuo au advance wakati kunawenzie wana alama kama yake na wamechanguliwa shida inaweza kuwa nini hapo
Civ (c) Hist (c) Geo (D) kisw (c) Eng (c) Bio (D) math (f)
USHAMBA WA MSUKUMA UKO WAPI?
Ninavyomfahamu
1.Hapendi makuu,ukimchokoza anasema KAYA YA NG'WOBA NAYO KAYA ili siku ipite salama.
2.Hapendi kesi,ukimdhurumu anasema MAGUZU MASESE ili asipoteze muda kufuatilia mambo ya kesi,badala yake afanye kazi.
3.Hapendi kuumiza moyo kwa hasara iliyotokea...
Fundi urembo wa nyumba nguzo kona skating harch madrisha nk...napatikana dar Es salam ila popote pare ukiniitaji nafika kwa kazi zaidi na nyumba yako iwe na muonekano wa kisasa zaidi call.0784142034
Fundi urembo wa nyumba napatikana dar Es salam ila popote pare ukiniitaji nafika kwa kazi zaidi na nyumba yake iwe na muonekano wa kisasa zaidi namba 0784142034
Habari zenu wana jukwaa please naombeni msaada wenu Simu yangu ni samsung note 3 inabagua kusoma sim card mwanzo nilipochukua ilikua inasoma halotel na voda ila tigo na airtel zilikua zinagoma baadae nika restore nikaweka line ya airtel ikasoma sasa hivi line zingine zina goma kusoma mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.