Wapo watu wengi sana,,
Wanaangaika na vidonga vya Tumbo
Lakini kwa utafiti wangu ,,
hata wewe hauna shida ya vidonda vya Tumbo
Nenda ukadili na gesi tumboni....
hiyo inayo kusumbua wewe ni gesi
Kifupi bunge limepoteza hadhi yake ya kuitwa bunge na muhimili
Sasa bunge limekuwa kama studio za radio clouds fm
Bunge ni lepesi mno limejaa vihiyo wa kuitikia ndio na kugonga meza kisha unapanda v8 unarudi hoteli kwenda kula bata
heshima ya bunge imepotea kabisa...
Leo nalala giza kwa Mara ya kwanza tangia niamie kwangu zaidi ya miaka mitano imepita
Naitwa said
Nipo bunju A usalama karibu na kanisa la efatha
Wilaya Kinondoni
Mkoa wa Dar es salaam
TATITO LANGU
Umeme umeisha
Nimenunua token vizuri sana
Rimoti na mita wamepoteza mawasiliano
Rimoti aiwaki ile...
Hata makuli bandarini wanatukana,
Wabeba zege wanatukana
Hata sisi mafundi garage mizuka kama yote
Kazi karibu zote za wagumu mitusi wala sio jambo la mjadala
Ila sijawahi kuona matozii (watoto wa mama,
Wakipiga kazi na mizuka
Wao kazi yao ni kubana pua tu. ...
Sent from my SM-E625F using...
Ukisema awamu ya tano
Yeye unamtoaje hapo
Waziri mkuu unamtoaje hapo
Waziri mpango ,ambae kwa sasa ni makamo wa rais unamtoaje hapo
Ni ikithibitishwa ya kuwa huo ufisadi ulianzia awamu wa tano serikali nzima inatakiwa ijiudhuru kwa sababu ni sehemu ya hiyo serikali iliyopita ....tafakuri kwanza...
Unataka mvuto katika nyumba ya ibada?
Unamaanisha waimbaji wa kwaya wavae vimini kama bar!!
Au ukiingia tu kanisani upewe balimi baridi?
Sent from my SM-E625F using JamiiForums mobile app
Ukiona unapata tatizo kama ili ukiwa na sim card ya tigo
Tambua kwamba
Unanunua muda wa maongezi online kupitia tigo pesa nk
Wenyewe tigo wanataka kila baada ya 1 mmoja angalau uwe unaweka kifurushi kwa njia ya kufuta vile vikaratasi vya kuchuna hata ukinunua muda wa maongezi wa 500 sim...
Kama polisi wanapewa laki 3 kama posho
Basi na wafanyakazi wa Tanesco wapewe pesa za posho lakini umeme walipe
Kupeana motisha vitu vya umma ni kulitia Taifa hasara....
Nchi hii kweli inamaajabu yake
Kama comandoo akageuka bausa wa kulinda hadi walevi
Ipo siku makomandoo wa kibongo watawalinda mpaka wakina ambar. Ruti,harmorapa,twaha kiduku,dula mbabe,wema sepetu...nk
Au huyu comandioo atakuwa comandoo mzee mstaafu..
Eheee comando,eehh comandoo., Comandoo...
Ccm hata kama inashinda kwa hira
Lakini vijana tulikuwa bado tumelala
Baada ya maisha ya mpito ya mwendazake na kuja huyu mama
Wananchi wamekata tamaa mazima hivi sasa wapo tayari kwa mabadiliko
Lakini siyo kupitia hivi vyama vya chadema ,ACT, cuf nk,
Tukitaka ccm itoke madarakani mchana...
Tusipotezeane muda kujadili kitu ambacho kipo wazi
Wanaongoza nchi wapo pembeni wala awana shida tena ya kubadirisha mtawala
huyu mama yupo pale mpaka 2025 /2030
Sisi kama wapinzani ndio tunatakiwa kujipanga
Ccm wao wameshamaliza kazi
Anayepewa kijiti ni mpaka amalize miaka yake 10
Mama...
Vijana wengi wa kitanzania akili zetu zimeganda
Ili ccm itoke madarakani tunatakiwa sisi vijana tujitambue kwanza
Tuache kuwa wabeba mabegi ya vigogo wachache wa upinzani
Ushauri
Vijana wote wa upinzani kutoka vyama vyote vya siasa tukutane
Tupindue meza angani tuunganishe nguvu kama vijana...
2025 wapinzani wanatakiwa kuunda chama kipya
Kisiwe chadema, cuf, Act, wala chochote
Wapinzani tunatakiwa tuje kivingine
Tufanane fanane na kule south kwa julias malema au uganda kwa bobi wine
Wapinzani tuunde chama cha vijana
Tuje pamoja kama vijana wa upinzani kutoka vyama vyote vya siasa...
Eti achague 1
Siasa au Dini
Kiswahili ni kigumu sana
Siasa ni muongozo wa maisha ya watu
Dini ni muongozo wa maisha ya watu
Moja sheria imetungwa na wanasiasa
Moja sheria imetungwa na Mungu
Vyote 2 vinategemeana
Bila siasa hautaweza kuitangaza DINI
NA bila DINI siasa ni machafuko
Ili vyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.