Acha masimngo na ulimbukeni usiokuwa na maana kijana,kila sehemu inautamaduni wake wa vyakula,kama ambavyo hauwezi kupata furu wa kubanika Washington ndio hivyo hivyo ulikosa brown bread Mwanza,uku kwetu asubui tunagonga chai ya maziwa na mahidi ya kuchemsha kwa raha zetu,hayo si jui ma brown...
Tofauti ya ku-bet na kutafuta mnawamke mitandaoni ni ndogo sana,kumbuka 1/Dec ili kuwa ni juzi tu na watafiti wamesema ya kwamba asilimia 70 ya maambukizi mapya ya UKIMWI ni vijana kati ya miaka 14 hadi 25 na hao ndio wamejaa humu mitandaoni
Ndugu yangu elewa ya kwamba Utabiri sio kitu cha kutegemea kwa saaaaana,ukiwasikiliza ktk taarifa zao mwisho huwa wanasema '"matajio ni mabadiliko kidogo" ,kwa maana hiyo yale waliyotabiri sio mambo ya uhakika asilikia mia
Sisis ndio tunawpa nafasi ya kupandisha bei kadri wavyotaka,kwa wingi wetu tukiamua kugoma kwa siku tatu tu kutumia mitandoa,kwa hasara watakayopata itarudisha heshima yetu kama wateja,kwa mtindo huu wanaoenda nao kila wakipandisha bei tunakaa kimiya na kunungunika bila ya kuchukua...
Kwa hesabu zangu nilizopiga haraka haraka kwa kutumia ile njia ya magazijuto,jibu limekuja ya kuwa kumrudia Ex(mpenzi) ni gharama kubwa kuliko kutongoza upya lkn ni rais sana na ninafuu kumrudia Ex(mke wa zamani aka mtaraka wako)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.