Gari kupewa namba D au E haina maana kwamba hiyo gari ni mpya.
Gari iliyotengenezwa mfano mwaka 1975 na ikaletwa Dar leo kutoka Japan inapewa namba E.
Haya ni maajabu kweli kweli.
System hii ya kutoa number plates kwa vifaa vya moto inafaa marekebisho.
Combination ya excessive sweating (hyperhidrosis) + bacteria ndo shida.
Inabidi hiyo excessive sweating kwapani ipunguzwe kwanza ndiyo ifuatiwe na maswala usafi kwanza kusiwe na hao bacteria.
Nenda kamuone Dermatologist (daktari wa magonjwa ya ngozi) akuchome Botox injection kwenye kwapa.
Deodorants, limau, ndimu, chumvi etc etc haziwezi kuondoa hilo tatizo.
Choma kwanza hiyo Botox ndio utumie hizo deodorants.
Ni PM ili nikuelekeze vizuri. ………
Tuwasiliane.
Nenda hospital waambie wakuchome sindano ya BOTOX kwenye kwapa zote mbili, hilo tatizo litaisha.
Kuna uwezekano mkubwa kwa madaktari wachache sana wanaoifahamu hii tiba.
Vivyo hivyo hivyo hata kufahamu kiswahili hakumfanyi mtoto awe na akili.
Isipokuwa unapokuwa unaifahamu lugha ya kufundishia inarahisisha sana kuelewa kinachofundishwa.
Achana na akili/mawazo ya kijimajima, eti uzalendo.
Mkuu ni haki yako kuuliza, kueleweshwa, kukubali na kukataa.
Baada ya kupitia maoni mbalimbali:
Inaonekana huyo Dr. hakuwa na intravenous paracetamol. Vile vile aliona kumpa paracetamol ameza isingekuwa njia nzuri kutokana na hali ya mgojwa na kidonge cha kumeza kinachelewa kufanya kazi...
Mleta mada ana hoja muhimu sana na asipuuzwe hata kidogo.
Watu wengi hawana ufahamu na kitu/mada hii.
1. Kwa madaktari na manesi kuna kitu kinaitwa “Exposure Prone Procedures (EPPs)” hasa upande wa operation au surgery. Hali za afya za watumishi wanaojihusisha na EPPs ni muhimu zifahamike na...
Tafuta mafundi nje ya mkoa wako.
Mfano, kama uko Dar chukua mafundi Arusha, hawatakuwa na muda wa kuchezea na watachapa kazi kwa bodi ili wamalize kazi na kurudi makwao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.