Anahitajika Mishi/Mtaalamu wa kupika Chapati (vitafunwa) na Chipsi. Awe wa kiume.
Awe mwenye uzoefu aliyekwisha wahi fanya kazi sehemu za watu wengi.
Eneo la kazi ni Mkoani Shinyanga.
Kwa mwenye sifa na vigezo afike PM kwangu.
Anahitajika MPISHI/mtaalamu wa kupika CHAPATI (vitafunwa) na CHIPS
Awe wa kiume
Awe mwenye uzoefu aliyekwisha wahi fanya kazi sehemu za watu wengi
Eneo la kazi. SHINYANGA
Njoo DM very serious
Mchumba baade aje kuwa mke anahitajika.
Sifa zake..
Umri miaka 22--35
Kabila lolote
Makazi-Dar es salaam
Akiwa mnene itapendeza zaidi
Rangi yeyote
Elimu kuanzia kidato cha 4
Mrefu au mfupi vyote ni sawa tu
Sifa zangu
Miaka yangu ni 31
Makazi Dar es salaam
Mfanyabiashara
Karibuni sana..
Anahitajika mpishi anayeweza pika vyakula mbalimbali pamoja na kuandaa vitafunwa ( bites)
Mshahara atalipwa kwa mwezi kadri tutakavyokubaliana.
Malazi juu yangu,
Matibabu juu tangu,
Chakula juu yangu.
Eneo la kazi SHINYANGA
D.M kwa maelezo zaidi
Anahitajika mpishi anayeweza pika vyakula mbalimbali pamoja na kuandaa vitafunwa ( bites)
Mshahara atalipwa kwa mwezi kadri tutakavyokubaliana.
Malazi juu yangu,
Matibabu juu tangu,
Chakula juu yangu.
Eneo la kazi SHINYANGA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.