Search results

  1. Nancyjoa13

    Maziwa yanayotokana na korosho kutoka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo, Naliendele

    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama maziwa yanayotokana na korosho wakati alipotembelea Taasisi ya Utafiti wa Kilimo, Naliendele, Mtwara, Julai 7, 2020. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa. WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na...
  2. Nancyjoa13

    IGP Sirro: Polisi hawatawaingilia wanasiasa watakaofuata sheria

    Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP), Simon Sirro akiwa Mkoani Simiyu amesema Jeshi hilo kamwe halitawaingilia Wanasiasa katika shughuli zao endapo hawatavunja sheria zilizowekwa wakati wakifanya kazi zao, huku akiwaonya baadhi ya Wanasiasa wenye tabia za kuingilia majukumu ya vyombo vya ulinzi...
  3. Nancyjoa13

    Ofisi ya Waziri Mkuu imekagua mradi wa bidhaa za ngozi eneo la Karanga, Moshi

    Ofisi ya Waziri mkuu imeziagiza Jeshi la Magereza nchini na Mfuko wa hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF),zinazotekeleza kwa pamoja mradi wa zaidi ya shilingi bilioni 75 wa kiwanda cha bidhaa za ngozi eneo la Karanga,Moshi,Mkoani Kilimanjaro,ambao umefikia asilimia 95 kuhakikisha...
  4. Nancyjoa13

    Serikali imetangaza bei elekezi ya chanjo 13 za magonjwa ya mifugo

    Wajumbe wa Bodi ya Wakala wa Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina, Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdalah Ullega mara baada ya uzinduzi wa bodi hiyo Makao Makuu ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi Mtumba jijini Dodoma SERIKALI...
  5. Nancyjoa13

    Miaka hii minne na ushei ya uongozi wa Rais Dkt. John Magufuli

    KATIKA miaka hii minne na ushei ya uongozi wa Rais Dk John Magufuli, kuna mambo mengi yamejiri ikiwamo dhana kwamba kiongozi huyo anafanana kwa kiasi kikubwa na rais wa awamu ya kwanza, hayati Mwalimu Julius Nyerere Uzoefu unaonesha kuwa, viongozi wenye sifa zinazofanana hata kama wangepishana...
  6. Nancyjoa13

    Mkurugenzi Mtendaji TANESCO amesema hatawavumilia watumishi wazembe

    Mkurugenzi Mtendaji TANESCO Dkt. Tito Mwinuka, amesema hatawavumilia watumishi wazembe ndani ya Shirika badala yake siku zao zinahesabika. Dkt. Mwinuka alitoa kauli hiyo wakati akifungua mafunzo ya siku sita kwa watumishi wapya 958 walioajiriwa hivi karibuni.
  7. Nancyjoa13

    TCRA, NIDA waanika siri kukwama usajili laini

    BENJAMIN MASESE - MWANZA MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) zimeeleza sababu zilizochangia wengi kushindwa kusajili laini za simu zao kwa wakati. Zimesema hadi kufikia Desemba 31, mwaka jana, laini za simu zilizokuwa zimesajiliwa kwa njia ya...
  8. Nancyjoa13

    Faida za kituo cha huduma kwa pamoja (One stop Border post)

    Rais Dkt.John Pombe Magufuli na rais wa Zambia Mhe. Edgar Chagwa Lungu wamezindua kituo cha huduma kwa pamoja Tunduma na Nakonde One stop Border post kilichojengwa kwa zaidi ya shillingi Billion 14. Tueleweshane baadhi ya faida zake. • Kupunguza gharama za ufanyaji biashara kwa kuondoa...
  9. Nancyjoa13

    Bandari ya Mtwara

    Shughuli za ujenzi wa Gati jipya Bandari ya Mtwara litakalokuwa na urefu wa mita 300 sawa na urefu wa viwanja vitatu vya mpira wa miguu zinaendelea.
  10. Nancyjoa13

    Tanzania effect

    kwa hili Utalii tanzania nawapongeza tumewasikia wenyewe wakiwa na shauku ya kuja kutembea tanzania kazi nzuri kwa bodi ya utalii, kazi nzuri kwa waziri wa utalii. hivi ndivyo tunavyotangaza utalii wa tanzania
  11. Nancyjoa13

    Kitengo kipya cha kupokea malalamiko ya kodi

    "Serikali imeanzisha kitengo kipya cha kupokea malalamiko ya kodi na kitaratibiwa na Wizara ya Fedha na Mipango, kitahusisha kupokea malalamiko kutoka kwa walipa kodi yakiwamo ya kuombwa rushwa na Watumishi wa Mamlaka ya Kodi TRA." SERIKALI imependekeza kuchukua hatua za kisera na utawala kwa...
  12. Nancyjoa13

    Eti wachina walikua hawataki maendeleo haya kisa tuu Bandari ya Bagamoyo

    Sehemu moja ya ujenzi wa Gati jipya katika Bandari ya Dar es Salaam ikiwa imekamilika na tayari imeanza kutumika kwa majaribio. Gati jipya hili limejengwa ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mradi mkubwa wa maboresho ya Bandari ya Dar es Salaam wa “DMGP”
  13. Nancyjoa13

    Tuzo ya SERENGETI kutua kwa Rais Magufuli

    Mwenyekiti wa Bodi ya TANAPA Jenerali Mstaafu George Waitara akimkabidhi tuzo Waziri wa Maliasili Mhe. Dkt. Kigwangalla ambayo imepewa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, kwa kuwa hifadhi bora barani Afrika mwaka 2019.
  14. Nancyjoa13

    IMF African wafagilia mapokezi ya Rais Magufuli

    Mr. Abebe Aemro Selassie, Director of the International Monetary Fund’s (IMF) African Department, met yesterday with Tanzania’s President John Magufuli in Dar es Salam. At the conclusion of the meeting, Mr. Selassie issued the following statement: “President Magufuli and I had constructive...
  15. Nancyjoa13

    Nasisi Tanzania Tuige kidogo "HUDUMA NAMBA" ya Kenya

    What is Huduma Number (Namba)? Huduma Number (Namba) is a number provided through NIIMS registration that is the ‘source of truth’ of identity of all persons residing in Kenya. Unlike a national ID or birth certificate that is issued to only Kenyan Citizens, Huduma Number will be issued to all...
  16. Nancyjoa13

    Afungwa maisha lakini hajakata tamaa

    Ernest Bwire aliwasili Kenya kutoka kwao Uganda akiwa na matumaini makubwa ya kujiendeleza kikazi, lakini yote hayo ni ndoto sasa. Kwa miaka 29 sasa Bwire amekuwa akitumikia kifungo jela. Kwa sasa yupo gereza la Kamiti liliopo kilomita 16 kutoka katikati mwa jiji la Nairobi ambako anatumikia...
  17. Nancyjoa13

    Naongea na jamii

    Ukiacha maji, barabara na elimu, jambo gani kubwa ambalo watanzania wanahitaji?
  18. Nancyjoa13

    TANESCO, REA kuagiza vifaa nje ya nchi

    Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani ameagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kusitisha uagizaji wa viunganishi vya miundombinu ya umeme (Accessories) kutoka nje ya nchi badala yake wanunue hapa hapa nchini. Ametoa agizo hilo alipotembelea Kiwanda cha...
  19. Nancyjoa13

    Mbarawa ametoa muda wa miezi miwili kwa magwiji wa wizi wa maji kujisalimisha wenyewe na kupata msamaha

    Waziri wa Maji Prof.Makame Mbarawa ametoa muda wa miezi miwili kwa magwiji wa wizi wa maji kujisalimisha wenyewe na kupata msamaha ili kuunganishwa katika mfumo mpya wa ulipaji bili kwa njia ya kielektroniki ufahamikao kwa jina la 'Pre Paid Meter'.
  20. Nancyjoa13

    Kansa ya matiti

    Kansa ya matiti ni miongoni mwa magonjwa yanayowatesa wanawake wengi duniani. Lakini kumekuwepo na hisia tofauti juu ya maumivu ya kawaida ambayo mwanamke anaweza kuyapata kwenye matiti yake. Baadhi yao wamekuwa wakihusianisha moja kwa moja na kansa ya matiti - Maumivu ya matiti yanaweza kuwa ni...
Back
Top Bottom