Habarini wana Jamii Forums leo nimeona nishare na nyinyi hii mda maana wanawake ni viumbe ambao hawaeleweki kabisa.
Kuna siku niko kwenye basi maeneo ya majohe hapa SSM sasa nikakutana na dada mmoja kazur balaa ikabidi nianze kutafuta timing nikasema huyu kituo chochote akishuka nashuka nae...
Habari za siku wana JamiiForums.
Polen na majukumu ila niwaombe radhi kama nitatumia lugha ya matusi, nia yangu hasa ni kufikisha habari na kuondoa bla bla nisiwachoshe twende kwenye mada
Kwa miaka kadhaa nimewahi kuwa na mahusiano na wanawake kadhaa lakini kati yao wote hamna aliewahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.