Nakubaliana na wewe,na kama tarehe hua zinafanana bas mzunguko wake sio wa siku 28 bali 30..hivyo hizo siku anazosema anakutana na mumewe sio siku sahihi za kupata ujauzito
Usiache kazi kabla hujapata kazi ndugu yangu.Maisha ya kua jobless ni mabaya na yanatesa usiombe.Fanya majukum yako uliyopangiwa.Ukiacha utakua umewapa hao watu ushindi.Makazini changamoto hua hazikosekani.
Nipo jobless nataman nipate kazi japo ya kutuwezesha kula na familia.KAZI NI MBAYA UKIWA...
Status:job seeker
Education level: Advanced diploma
Proffesional: Accountancy
Experience:seven years
Gender:female
Location:Dar es salaam
Availability:as soon as possible
Mungu na atusaidie..Nimekuelewa sana.Ambae hayajampata hawezi kuelewa.Mwaka huu tumezika wawili kwenye familia moja ndan ya miez sita..chanzo ajali na homa zisizoeleweka.
Kuna mkaka ninamfaham yupo vizuri sana kiuchumi lakini kumpa mkewe japo elf 50 ya matumizi binafsi hampi sembuse kujengea wakwe nyumba...kuna watu ni wabinafsi sana.
Usikate tamaa fanya kazi kwa malengo huku ukimtegemea Mungu.Ni heri kupata hata hicho kidogo kuliko kukikosa kabisa.
Mimi nimewah kufanya kazi katika shirika lisilo la kiserikali mpakani kabisa mazingra hayakua mepesi lakini nilijazoea adi mkataba wangu ulipoisha.
Ndio unaweza kulingana na kumbkumb la torati 26:12..neno la Mungu linasema zaka anaweza kupewa 1. mlawi(mtumishi wa Mungu) 2.mgeni(mhitaji) 3.yatima 4.wajane
✓Nimefika mikoa mingi Ila Mwanza kwa wasukuma nilipata ukarimu na upendo ambao siwezi kuuelezea.Wasukuma kongole kwenu.
✓Kagera nimeishi sana kwa wahaya wa Muleba Nshamba napo upendo niliuona ila hawajafikia wasukuma.
✓Kigoma Roho juu juu kuhus mambo ya giza.
✓Dar ndo nyumban,huu mji ukiwa na...
Hakuna cha mimba hapo unapigwa tu unless uwe una ushahid kua ni kweli alipima akakutwa na ujauzito.Mabinti wengi wanafanya hivyo kwa lengo la kujipatia pesa tu trust me.
Wengi wao wambea na kuchunguza hali za maisha tu, especially kwa wale walokua vipanga shulen alafu wakasoma ad chuo na wakapigika mtaan kwa kukosa ajira hua wanachekwa na kudharauliwa sana na wale walioanza kujiajiri mapema na pia wapo mbali kimaisha
Safi sana,na mim pia niliwah kudokezewa kua muda mzuri wa kuomba ni hayo masaa uliyoyataja 12,3,6,9 ila sikuwah kujua sababu hasa ya hayo masaa tajwa ni ipi. Angalao leo nimepata idea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.