Hizo jumuiya Nazo ni umbeya tupu, mnaendaje kukaa sebuleni Kwa mtu huko nikuchunguzana maisha, niliacha kwenda jumuiya Hadi walishanisusa ata Kwangu hawakanyagi, haiwezekan Kila weekend kwenda kwenye nyumba za watu asubuhi asubuhi
Yapo ya kuzalilisha wanawake lakini siyo Hiyo Midori, huko mitaani na masokoni kama kariakoo wanawake wengi wanazalilishwa Kwa kushikwa maungo Yao, Wanapigiwa miluzi na kupigiwa kelele, alafu unakuja kudai Midori ndiyo inazalilisha,
Ndiyo maana tuna uhaba wa mabilionea weusi maana ngozi nyeusi akipata pesa Kidogo, akili inawaza pombe, ngono na kwenda kukaa bar nakusikiliza makelele, siku ukiona muhindi au mwarabu kakaa Bar ujue huyo alishapoteza dira kitambo
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Upinzani wa Tanzania ni wakulamba asali, wapo Kwa masilahi binafsi Leo anakuwa upande wa wananchi kwavile hajaonjeshwa asali, akionjeshwa asali kesho anahamia Kwa watawala, hatuna viongozi wenye dira na mitazamo isiyo yumbishwa
Kero kubwa ya Karume ni madalali yaani ukifika unazongwa na madalali na ndio wanaongea Bei huku mwenye Mali katulia, ukinunua kiatu Cha elfu30 basi boss anachukua elfu25
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.