Habari wakuu,
Nimefikia kwenye hatua ya kupaua kabanda kangu kenye ukubwa wa 13×11 naomba nijue nitatumia bati pc ngap? Na mbao 2*4 ngapi na 2*2 ngapi?.pamoja na feature body ngap.Bati nitatumia zile za 87cm mapana na urefu ft 3.
NAWASILISHA.
Guys mambo vp,
Ishu iko hivi huwa napenda kurecord mazungumzo ninayoongea kwenye simu automatically kwa matumizi ya baadae, hasa sometime mnakubaliana na mtu jambo fulani unaweza kurecord kama USHAHIDI hapo baadae.
Mwanzo nilikuwa natumia simu yenye android 8 na nilikuwa narecord vizuri kabsa...
Wakuu nawasalimu nyote,kuna tv flat inch 25 SINGSUNG toleo la kwanza kabsa kitu og imetumika miezi miwili tu inauzwa kwa Tsh 220,000/=
Kwa serious buyer njoo pm au call 0657955212
wahi mapema isije chukuliwa.
Kama unavyoona kwenye picha hapa chini bado kitu kina makaratasi kabsa brand new....
Wakuu nawasalimu wote,kama kijana nmeona nishee nanyi mambo muhimu ya ujanani,nmekuwa nikishiriki ngono zembe mara nyingi sana kiukwel yaan namaanisha kufanya ngono bila kinga,lkn hv karibuni nmeenda kupima nmejikuta mzima kabsa wa afya,kipi kilichonisaidia? Si kngne bali na...
Wakuu habari za saa hizi
Kama kichwa cha habari kinavyosema wanawake wengi sana siku hizi wanacheza michezo ili hali hawana kazi ya kuwaingizia kipato.
Usiseme nimejuaje ila ukweli ndo huo. Mimi nafanya biashara wanawake wengi wakija kwenye biashara yangu wanasema wenyewe kwamba nipe bidhaa za...
Wakuu kama kichwa cha habar kinavyosema nina tv singsung flat nchi 25,lkn for now nataka kuwa na tv kubwa ya nchi 43/40 je naweza kubadilishana na hii niliyonayo kisha nikaongeza pesa kidogo?..
N.B Tv haina tatizo lolote ila for now najisikia kuwa na tv kubwa nahisi ndo nitaenjoy zaid kuliko hii...
Habari za saa hz wakuu,moja kwa moja niende kwenye mada...kusema ule ukwel ndoa sio kitu cha mchezo mchezo kwa kwel,kwann nasema hv coz nimepractice hii kitu,kivipi?...jibu ni kuwa nina mademu watatu na lengo ni kuwachunguza na kujua yupi wa kumuoa katika hao watatu wote nilifanya njia nikae nao...
Wakuu habari zenu...niende moja kwa moja kwenye mada,hapa juzi kati nilimsindikiza rafiki yangu kwa mtaalamu kuna mambo yake ya kibiashara alikuwa ameenda kuweka sawa kwa hawa mashehe wanao_omba dua yaaan wanapiga kisomo,jamaa yeye alikuwa ndani na mm nilikuwa nje baada ya kumaliza mambo yao na...
Wakuu habari za asubuh,
Niende moja kwa moja kwenye mada..
Leo asubuh nilikuwa zangu kwenye mwendokasi mm nakaa kimara....kama unavyojua huu usafiri wa mwendokasi watu wanavyobanana lkn kila kituo lazima lisimame kupakia abiria basi bwana tumetoka zetu kimara safi kabsa huku mm nikiwa nmesimama...
Niende moja kwa moja kwenye mada hivi waungwana kwanini tunaumia sana wapenzi wetu wakicheat wakati tunajua huyo mpenzi wako hukumkuta bikra, kama hukumkuta bikra ina maana kuna mtu nyuma yako ambaye alimtumia sana mpaka wewe ukakutana nae hiyo bikra alikuwa hana hasa kwa upande wa wanawake kama...
Wakuu niende moja kwa moja kwenye mada..kuna demu kitaaa nilimfukuzia takribani miez mi3 bila kula mzigo na hatimaye mwezi wa nne nikaja kumla lkn yy akagoma nimle kavu akataka nivae kinga..baada ya kumla safar mbili tatu mwendo ukawa ni ule ule wa kutumia kinga...Na kumbuka kipind chote hcho...
Sizunguki naenda moja kwa moja kwenye mada..
Imekuwa ikiongelewa sana hapa jf na watu weng kuamini kuwa mwanamke kuwa na bwawa ni kutokana na kuingiliwa au kushiriki na wenye magobole makubwa au kushiriki na wanaume tofauti tofaut ndo chanzo cha kuwa na maumbile makubwa.
Binafsi siamini katika...
Wakuu naomba msaada kama hili linawezekana yaan nikatumia king'amuzi cha dish kwa antena ya kawaida ya startimes ili kuepuka gharama kubwa za ulipiaji ya wa dish maana naona kwenye antena kuna unafuu kidogo...Je hili linawezekana?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.