Hello guyz mi nimeajiriwa serikalini lakini nataka kuacha kazi ili nikasome nije tena kufanya kazi sekta nyingine tofauti na iyo
Sasa utata unakuja katika kuacha kuna uwezekano wa kuandika barua ya kuacha
Na ikakubaliwa ?? Na huwa inachukua muda gani mtu kuacha kazi na kufutwa
Na endapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.