your father has alredy played his part in your life..its time for you to grow up! si ajabu anakuona bado hujakua kwa sababu unanmg'ang'ania/kumsumbua sana!show some independence woman..sio kila saa you are calling and texting him!ndomana hata kwenye mambo ya muhimu unapomhitaji (kama...
i have no idea what message you are trying to convey..buy i am sure there is supposed to be space between the words; things,mostly and YOUR. Also you want to say that the brain becomes 'INEFFICIENT' and not inefficiency. finally, it is 'YOU ARE RIGHT' and not 'your right'
yani watu wana roho mbaya jamani!!seeing someone happy makes all that you are itch and burn with jealousy ama?? mpenzi is at peace with life and that is enough for now..what caused the current state of happiness and peace and wether it will last is not the concern here..
mwaya..ishi maisha yako...
wanawake kama hao wanayao-most likely with a level of psychosis in them!
it is not normal for a human being to stick around after being treated like trash-not human nature!!
labda wanakuaga na mpango wa kulipiza kisasi badae..that would make a lot of sense to me!!
Tafuta mafuta ya sunscreen..huwa yana kitu kinaitwa sun protective factor-SPF yenye namba.kwa mfano spf 26 inamaanisha ili kudhurika na mionnzi ya jua inatakiwa iwe mara 26 zaidi ya kiwango chake cha kawaida..Ila mi vyema umtafute daktari wa ngozi akushauri zaidi.
Ila kama utatumia hayo mafuta...
labda anaweza kuwa na hormone inayo sababisha ukuaji wa maziwa..ambayo hupatikana kwa wanawake..oesteogen
au anaweza kuwa na sehemu za kike pia including mayai (ovaries).
ukimwangalia shape yake ipoje..kama ya kikw au ya kiume??ana nywele nyingi mwili mzima na sehemu zake nyeti,nywele zina...
mimi nnavojua kazi ya sidiria ni ku-support maziwa..sasa kama maziwa yamesimama ipasavyo kwa nini uvalishe siridiria??pale misuli inayoshikilia maziwa itakapochoka unaweza kumuanzishia binti kuvaa sidiria..
nahisi nivea anachojaribu kubaini ni je unakuwa huru unapokuwa tendoni!?kwa sababu kama una waza mambo mengi kichwani lazima 'perfomance' itapungua..
pia..je unavutiwa na huyowenza wako??hayo ni mambo yanayoweza kuchangia perfomance yako
kama kuna upungufu wa vitamin mwilini..ni bora ule vuakula vyenye vitamin au virutubisho hivyo kuleka kupewa vidonge..
kwa hiyo ingwmsaidia zaidi kama atakuwa na utaratibu wa kula tropical fruits zenye ascorbic acid...chungwa,embe,nanasi, na kadhalika!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.