Mkuu angalia hizo 'bolded sentences' hivi umeshawahi kusoma kitabu cha JKN kinachoitwa 'viongozi wetu na hatima ya nchi yetu'???? utapata majibu ya shaka uliyonayo!!! he was a great thinker! Kwenye kitabu hicho amezungumza viruzi sana kuhusu viongozi wetu na uchu wao wa fisi wa madaraka!!!!
Makinda tofauti na mtangulizi na bosi wake wa zamani SS anasumbuliwa na mambo mawili: kulipa fadhila ya waliompa uspika kwa siyo tu kuzima hoja za wapinzani ambao wamekuwa mwiba mkali kwa serikali, lakini pia kuwashughulikia wafuasi wa sita (ikumbukwe kwamba sita alionekana ni chanzo cha...
Aisee kumbe hizi habari za viongozi wa dini kijihusisha na madawa ya kulevywa ni za kweli?? Sasa JK alikuwa anaogopa nn kuwataja? Halafu yule kionozi wa dini aliyempinga JK hadharani kwamba awataje la sivyo amejivunjia heshima alikuwa ana maana gani? Kaaazi kwelikweli!!!!
Baada ya wabunge wengi kuikomalia bajeti ya wizara ya madini na nishati na hasa kwa kushindwa kuja na mikakati madhubuti na inayotekelezeka ya kutatua tatizo sugu la mgao wa umeme unaoendelea nchini hatimaye bajeti hiyo imekataliwa rasmi leo na serikali imeomba wiki 3 kwenda kuiandaa upya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.