Kitu kingine ni kwamba, Corona kutanganzwa kuwa ugonjwa kwa kidunia( Pandemic) haina maana kwamba kila anayepata maambukizo lazima afe. Kuna mambo mengi ya kuzingatiwa kutoka kuambukizwa, kuonesha dalili (kuumwa) hadi kufariki.
Huu ni ugonjwa ambao hauna tiba ya uhakika, kinachozingatiwa hapa...
Ila mimi bado naamini hii kitu hakiwezi kutusumbua sisi waafrika. Na ninaamini, hata kabla ya kugundulika china, kilikuwepo hata mwanzo. Na ninaamini miongoni mwetu tulishakumbana nacho, tukakishinda, ni vile tu hatukuwa na vipimo vya kuthibitisha.
Na hii attention kubwa imetokea ni kwa vile...
Vyovyote iwavyo, huwezi kutenganisha survival yetu dhidi ya corona na kinga ya miili yetu. Wazungu wanapiga kelele tu, ila jibu wanalijua.
Kitu kinga ya mwafrika!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana ya utunzi wa watu wenye akili.
Huu ni wimbo unaoishi miaka yote. Upatie tafsiri yoyote unayopenda, itaeleweka.
Unaweza kusema chatu ni "mchonga" utakubali,
Ukisema chatu ni "dusheshelele" unakwenda,
Kama chatu atakuwa "Jembe" sawa tu,
Lakini pia inaweza chatu ni akina Ngurumo...
Kinga ya mwili hauzingatii super powers.
Huu ni ugonjwa unaosababishwa na virusi, na kwa kawaida, kinga ya mwili ndio factor muhimu katika kupambana na viral infections. Na kinga ya mwili inazingatia sana mazingira na jamii tunayotoka..
Tusisahau waafrika tuko ktk mazingira ambapo kuna...
Katika utabibu kuna kitu kinaitwa "food poisoning" Sasa ukitafsiri hayo maneno mawili kwa kiswahili, ndipo lilipo chimbuko la taharuki.
Ukiongea na madaktari na kuwaomba tafsiri ya hilo neno, utakuja kutambua kwamba, ni kitu cha kawaida sana, ambacho mimi na wewe tunakumbana nacho kila mara...
Sababu ni nyingi.
Mojawapo ni kuongezeka kwa vituo vinavyotoa huduma ya upasuaji..tofauti na zamani,kwa sasa karibu kila wilaya ina hospitali na vituo vya afya kadhaa vyenye uwezo wa kutoa huduma hii.
Pili ni kuongezeka kwa elimu ya afya kwenye jamii.. Watu wameelimika kiasi juu ya madhara ya...
Binafsi nimeona mama amejifungua kwa operation mara tano na yupo salama mpaka hivi ninavyoandika hapa..
Kusema kweli kibinadamu hatuko sawa..kwa hiyo kinachozingatiwa ni uimara wa kizazi cha mama kuweza kuhimili makovu yatokanayo na operations hizi..
Namanisha nini? Jinsi kizazi kinavyokuwa na...
Kama ni jipu,kwa maana ya jipu kweli,husababishwa na bakteria..
Wanaweza kuingia kwa kupenya ktk ngozi kupitia michubuko ama kupenya tu hata sehemu zisizo na michubuko..lakini pia unaweza ukawa na bakteria ndani ya damu ambapo wanaweza kusababisa jipu sehemu yoyote mwilini..
Kuhusu kujikinga...
Been looking to the beams currently available, definitely, ECOWAS 1 can't be reached from here,may be ECOWAS 2 that covers some parts of Zambia can be tried.
They say,kama mwendawazimu akichukua nguo zako...chutama, usikimbizane naye kwa barabara..otherwise,wote mtaitwa wendawazimu..
Why don't you serve your precious energy for better stuff, huh?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.