Hivi ndo itakavyokuwa baada na miaka ya mbeleni huko kuhusiana na Milky way galaxy yetu na Andromeda galaxy kuhusiana na mgongano unaotajwa kuja kutokea ..
Galaxy hizi mbili hazitakuwa na mfumo mmoja tena ( constellation) uliokuwepo hivyo kushindwa kusapoti tena maisha kwa viumbe wake.
Je...
Habari za mida hii wajuzi wa mambo katika jukwaa pendwa la Jamii Intelligence :'
Leo napenda kutoa mchango kidogo sana, inaenda kuhususiha Artificial creaation( uumbaji bandia) unavyochukua nafasi kama sehemu ya kazi ya mwenyezi Mungu katika uumbaji,,
Kwanza kabsa artificial creation of...
Natumai humu nyote ni wazima wa afya njema kabisa ,pole kwa yote lakini leo napenda kutoa mchango wangu kidogo kulingana na nilichopata kukiona au kujidhihilisha juu ya swali gumu ambalo limekosa majibu miaka nenda rudi juu ya binadamu alitoka wapi...
Sio lazima ukomaee na mealezo yangu lakini...
habarini wana jamvi,!!! bila kupoteza muda niende kwenye maada...
Nimesajili laini mpya TTCL aina ya 4G lakini nimeset kila kitu kwenye mobile network inaandika H+ lakini baada ya dakika 4 au 5 inaandika E tena mpkaa urudi kule kwenye option ya 4G,3G,au 2G option unajaribu kucounter change 4G...
Natumai wote humu ndani mu wazima wa afya njema,mliofunga poleni kwa swaumu kali na wale wakristo poleni kwa Artificial swaumu kutokana na mfumo wa maisha ulivyo,,
Leo nitagusia kidogo juu ya sheria na kanuni [universal laws] KWANI KUNA WATU WALIOMBA KUTOLEWA UFAFANUZI AU ZIELEZEWE KIDOGO...
Hellow guys,
I hope kila mmoja wetu humu ndani ni mzima wa afya njema kabisa,,,,,mara nyingi ni msomaji wa nakara nyingi zinazoelezea uhalisia [nature] ya ulimwengu under its forces operating within .Huwa siyo mpenzi wa kuandika makara nyingi sana kwa sababu pengine siyo mwandishi mzuri but i...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.