Wadau nataka hama hapa nilipo kuja jiji la mwanza, sijawahi kufika mwanza ila nahisi naweza kupamudu coz ni mtu wa kanda hiyo..
Shida sijajua ni wilaya ipi itakua favor kwangu kwa kuzingatia kupata ka kiwanja ka kujenga, na kimechangamka japo kidogo..sitaki mjini kati sana ila pia sipendi pawe...
Wakuu habari ya kazi, kijana wenu nimekuja kupata experience na ushauri kuhusu ujengaji wa nyumba.
Kati ya kujenga nyumba kwa tofari choma ambazo kwa huku nilipo tofari mpaka site ni shilling 100,pia kujengea hizi tofari unaweza tumia udongo bila cement. Chamsingi renta lazima uweke..
Pia,hapa...
Salaamu wanajamii, napenda kuuliza hivi huu mkopo wa hazina huchukua muda gani mpaka kuingia kwenye account kama ushamaliza process zote za mkopo?
Sababu tangazo tangu limetoka ni mwezi wa 11 mwaka jana, process zote nikamaliza mwaka jana ila cha ajabu mpaka sasa hivi hakuna chochote na...
Kuna hela kama million 10 ninampango wa kuitumia miez sita mbele, kwahyo nahitaji kuihifadhi kwenye fixed account.
Wadau ni benk ipi itakua na asilimia nzuri katika faida. Natanguliza shukrani wakuu.
Wadau, najua kila mtu kuna kipindi anapitia either kigumu au kizuri. Kwahyo shusha matukio ulioyafanya katika kipindi cha siku mbili zilizopita na wana psychology wa jamii forum watakuambia unapitia nini na solution ya hali ako ni ipi....
Nianze na mimi, ndani ya hizi siku mbili nashinda ndani...
Habari ya mihangaiko wakuu, straight to the point..leo katika kukosa kazi nikaona sio mbaya nitembee na salary slip kuona ni kwa jinsi gani ninatembea na utajiri mfukoni.
Nikimaanisha kiwango ambacho naweza kukopa benk hasa kwa muda mrefu..hii sio mara yangu ya kwanza kwenda benki kukopa imekua...
Wakuu samahani, naomba mwenye maarifa kidogo juu ya swala hili anipe mawazo kidogo.
Nilijaza fomu ya kuomba passport mtandaoni hadi mwisho kisha nikailipia then after nika download tayari kwa kui-submit ofisi za uhamiaji.
Tatizo langu ni kuwa baada ya kuidownload form nimeona picha niliyotumia...
Wakuu habari vipi, kuna mwamba ni mwalimu wa secondary katika shule fulani ya kata.
Ndoto yake kubwa ni kufundisha vyuoni hata kama vya kati, masomo yake ni HISTORY na KISWAHILI
na overall GPA yake ya undergraduate ni 3.5 UDSM.
Anauliza hivi utaratibu wa kufundisha vyuo vya kati hasa diploma...
Wadau ninaomba mchango wenu wamawazo. Nimekua mtumishii wa serikali kwa miaka minne Sasa, katika idara ya elimu(Mimi ni mwalimu) umri miaka 28.
Nafundisha masomo ya physics na chemistry, na ninayo elimu ya bachelor yenye GPA nzuri tu.
Nimeamua kutaka kurudi kupiga kitabu Tena, nafikiri...
Habari vipi wadau,
Leo ninaomba mnipatie ushauri kuhusu sehemu sahihi ya kuhifadhi pesa kati ya M pesa na Bank, kuna pesa ninayo saizi ila matumizi yake nimepanga yafanyike kuanzia mwezi wa tano.
Kwa saizi pesa iko katika account ya CRDB lakini kila siku naona kama inazidi kupungua hata bila...
Naomba niende moja kwa moja kwenye point....Mimi ni kijana mwenye umri kati ya miaka 25-27.
Nina shida moja kama siyo tatizo ambalo linanisumbua sana na ningependa kama kuna uwezekano niachane nalo kabisa japo nimejarb lakini nimeshindwa kwa mimi kama Mimi..
Nimekua na woga sana kama siyo hofu...
Hellow.!jf members.....kwanza nianze kwa kutanguliza shukurani zangu kwenu kwa uvumilivu na ushauri juu yangu tangu enzi zile nalia sana sina ajira.
Napenda kuwataarifu Kua namimi Leo nimebahatika kupenya kwenye hizi ajira ndogo za serikali.
Nachowaomba ndugu zangu, mnisaidie ushauri tena ni...
Mimi kijana 24yrs. Nimemaliza elimu yangu ya shahada ya kwanza katika chuo kikuu cha dsm.
Nimekuja kwenu kuwaomba kama kuna mtu anaweza kuni assist nikapate sehemu nikafundisha masomo hapo juu.
Nina uzoefu mzuri katika masomo tajwa hapo juu,kwani hata ufaulu wangu ni kuanzia B kwenda juu (wa...
Habari niaje ndugu...!kama mnavyojua kwenye maisha siku zote binadam huwa tunategemeana..
Kwani ninayo imani kwamba pengine hapo ambapo ulipo either unafanya kazi or kibaruani ni kutokana na juhudi/mpango wa ndugu au jamaa ako.
So kama una mchongo wowote wa kazi au fursa ambayo unaona unaweza...
Ndugu zangu, poleni na majukumu ya kila siku..!
Nimekuja kwenu kuwaomba kama kuna mtu yeyote ambae anafaham kwa sasa kua kuna shule inayohitaji mwalim wa masomo tajwa hapo juu tafadhari naomba anijulishe.
Kuhusu elim yangu ni mhitimu wa chuo kikuu cha udsm na Niko vizuri sana katika masomo...
First, am dilighted to have jamiiforum kwasababu hii ni sehemu ambayo unao uwezo wa kuwakilisha mawazo yako.
Straightforward.., kama Uzi unavyojieleza...Mimi ni kijana nimamaliza masomo yangu (udsm) katika shahada ya kwanza kwenye masomo ya physics na chemistry.
Na nina ufaulu mzuri tu katika...
Kwanza habari za wakati wanajamii wenzangu.!?
Mm ni mhitimu wa chuo kikuu cha dar es salaam(Udsm) katika fani ya bachelor of science with education majoring physics na chemistry. Mwaka huu 2018.
Kutokana na wimbi la ajira kutokueleweka napenda sana kuendelea kusoma digrii yangu ya pili.
Nipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.