Kichwa cha habari nahisi kimeeleza kila kitu kabisa, nahitaji maoni maana niko njia panda.
Kuzingatia hiyo pesa, nipate kiwanja na kukodisha frem ya biashara yeyoteee.
Wadau nataka hama hapa nilipo kuja jiji la mwanza, sijawahi kufika mwanza ila nahisi naweza kupamudu coz ni mtu wa kanda hiyo..
Shida sijajua ni wilaya ipi itakua favor kwangu kwa kuzingatia kupata ka kiwanja ka kujenga, na kimechangamka japo kidogo..sitaki mjini kati sana ila pia sipendi pawe...
Wakuu habari ya kazi, kijana wenu nimekuja kupata experience na ushauri kuhusu ujengaji wa nyumba.
Kati ya kujenga nyumba kwa tofari choma ambazo kwa huku nilipo tofari mpaka site ni shilling 100,pia kujengea hizi tofari unaweza tumia udongo bila cement. Chamsingi renta lazima uweke..
Pia,hapa...
Hivi nani atakua na mix ya dj kalonje ya sweet reggae,ile wamo wakina deynque(summer love) ya miaka ya nyuma kidogo...kama unayo kuna hela ya maana ninayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.