Wana JF - Habari,
Ninaomba msaada kwa yeyote mwenye hotuba za mwalimu J.K Nyerere anipatie tafadhali. Au kama kuna link inayoweza kuwa na hizo speech. Please help.
Wiki iliyopita nimepata ajali na gari yangu, nimegongwa na corolla iliyokuwa imepoteza uekekeo na kuja upande wangu wa barabara. Baada ya taratibu za kipolisi kufuatwa tumejua gari hiyo haina bima. Polisi wanamtoza fine mmiliki wa hiyo Corolla. Naomba kupata msaada, itakuwaje kwa gari yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.