Ndg wanaboard, naombeni ushauri wenu maana ninawazo la biashara.
Nipo Geita, mtaji nilio nao ni 25M, nimepata machine ya kukoboa 25t/h, ya Kisasa.
Ambayo wanauza 8700usd. Inakuwa na:
1. Elevators zake 2
2. Destoner
3. Cleaner.
Pia inaoption ya kupata brown rice.
Shida yangu ni ushauri, je...
Dr Tiboroha, ndiye hasa alitakiwa awe mwenyekiti wa Yanga.
Kipindi akiwa katibu mkuu, aliifanya Yanga kuwa timu tishio sana Tanzania.
Angalia scout ya Wachezeji kama Ngoma, Kamsoko, Twite. Ni watu ambao walikuja Yanga wakiwa wanafahamu kazi yao ni kufanya nini.
Yanga ya Msola na Dj...
Hii hijawahi tokea, usajiri hata wachezaji kumi wapya imeshindikana, pamoja na TFF kkuongeza nafasi hadi 10 lakini Yanga yangu ni shida sana, umasikini haujawahi acha MTU salama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.