Wakati umefika sasa Kwa vyama vya upinzani kubuni biashara nyingine au kazi nyingi za kufanya ,kwani kuendelea kufanya siasa mnapoteza muda wenu bureeee, bora mkalime matango pori.
Umenikumbufha kampuni ya enterprises financial limited IPO arusha na dar riba wanatoza 210%.pia wapi heritage financial limited ya Arusha.hapo jamaa ni wapigaji Wa Riba na wauzaji wakuu Wa nyumba za watanzania na viwanja.bora ziondolewe kama maduka ya kubadilisha fedha yalivyoondolewa.
Kuna mtindo umekuja polisi wanajificha porini na kutumia simu zao za smart phone kupiga Magari over speed, ukifika mbele unasimamishwa unaonyeshwa Picha ya gari lako na speed yako kwenye siku ya trafic mwingine, wanakudai rushwa na faini hawataki kukuandikia, mfano kuna eneo LA low gear, kule...
Waziri wa nishati Dr medard alitangaza kuwa wateja wanaohitaji umeme watapatiwa nguzo bila kununua.he kauli hii ni mikoa mingapi imeanza kuifanyia kazi kauli ya Mh Waziri? Je na nguzo na transfoma ni bure je mteja wa tanesco anayehitaji umeme anatakiwa alipishwe Gharama zipi zingine na ni...
Aliyeruhusu mabasi ya a
Aliyeruhusu mabasi ya abiria kusafiri masaa 24 kuna siku atajiuzulu nafasi aliyepewa na Mh. Rais wetu.watu watakufa sana sana kwa ajali za usiku,huwa madereva wa mabasi wanasememaga usiku hakunaga serikali hivyo speed ni 120 kms per hr.
Bora wafafanue bei kama walivyo tanesco na waziweke kwenye mtandao watanzania wajue ABC kuhusu Gharama za Maji kuunganishiwa.kila Mwanza being za huduma ya Maji ziko huu kuliko mahali pengine Tanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.