Aache utani. Hii chai au hawezi kuweka kumbukumbu ya maeneo? Passport kugonga ni ama "nakonde border" akitoka tunduma au "chirundu border" akiwa anaingia Zim. Sasa Lusaka alikua kwenye "foreni" ya kugonga passport mpaka ikatokea ugomvi kulikua na kugonga nini?
Why Dubai? Usinijibu mimi nakupa formula ambayo mie hutumia. Jiulize hilo swali over and over ukiona huna hata chembe ya doubts. Proceed. All the best bro.
Salaam Jamii Forumians.
Naamini kila binadamu hufikiri kwa wakati wake na kwa namna yake. Lakini wengi tufikiria tunapokua wenyewe (alone). Wengine wanaenda mbali zaidi kiasi cha kukosa usingizi wakianza kufikiri. Mimi ni mmoja wapo. Na ndio maana when i go to bed its either nitumie simu...
Ukistaajab ya Musa......
Hivi na kwenye vivuko vya pale kigamboni nako picha zinakatazwa sababu ni nini? Mbona mambo mengi sasa hivi nyumbani yako tofauti sana na ilivyokua pia tofauti na nchi nyingi. Mbele picha unapiga hata ukiwa kwenye uzio wa jumba jeupe na sehemu nyingi za vivutio. Huku...
Mmh Jamii Forum, ni uwanja mpana usifikiri ni column
Hapa tunaelimika, na pia kuburudika
Cha msingi kutulia, madharau achia Tulia
Muhimu kuheshimiana, hata kama mtajamiiana
Kuna wengi wasichana, ila wengine kina mama
Usihadaike na avatar, kuna wengine hawapo Dar
Ila mapenzi hayana formula...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.