wana jf,napenda kutoa maoni yangu kama mtz,nchi inavyo enda nazani si kama lina viongozi makini na nazani kuna haja ya msingi wa kufanya mabadiliko yasiyo jali itikadi za vyama,tufanye mabadiliko ya sura yoote ya uongozi wa kitaifa kwa kuwaweka wengine madalakani,mimi ni mwanaccm ila tangu...
wachina wanasema kuhusiana na maendeleo ya nchi yao kuwa,''EVERY THING STARTED FROM MAO'' Na sisi tuseme kuhusu huu uuzaji wa mashirika kifisadi kuwa''EVERY THESE STARTED FROM MKAPA''
mstahiki meya wa jiji la dsm dr masabuli aibua kashfa nzito kuhusu masuala ya mikataba ya kifisadi,,anasema anataka kuona nani wa kuwajibishwa kati yake na wengine,kazungumzia mikataba ya machinga complex,ddc kariakoo na keko na mengine,source clouds radio
sizani kama 6 anaweza kuwa raisi mzuri,naona amejaa na jazba za kuukosa uwaziri kwenye kipindi cha kwanza na uspika ktk kipindi hiki na ndo maana akadiriki kutaka kuhamia ccj,,tanzania sasa ni kama shamba la bibi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.