Kuna miji huwa haisemwi kiasi unachoweza kudhani IPO nyuma.
Moja ya mkoa huo ni Shinyanga.
Katika orodha ya uchangiaji WA pato la taifa Kwa kila mkoa Shinyanga inashika nafasi ya tatu(3) Kwa kuchangia 5% ikiwa imezidia na mikoa ya Mwanza yenye mchango WA 9% na Dar yenye 17%.
Kinachoshangaza ni...
Makadirio ya shirika la fedha la kimataifa yaani IMF unaonyesha uchumi WA Tanzania umekuwa na kufikia $77 billion katika robo ya Kwanza ya 2022.
Hilo ni ongezeko la Dola billion 12 kutoka GDP ya $65 bilioni, Tangy hakunawahi kuwa na ongezeko la bilioni 12 ndani ya mwaka mmoja.
Ila tofauti ya...
Unasema limeisha Kwa kutoa jibu ambano huna uhakika nalo.
Unafananisha share za serikali zilizowekezwa kwenye (real economy) yaani uuzaji WA bidhaa na huduma na uwekezaji WA kwenye bitcoin. Shea zinawakilisha umiliki WA shirika ambapo wamiliki mwisho WA mwaka hugawana faida ama hasara.
Great...
El Salvador wanaspeculate Hilo halina ubishi na ndio maana baada ya thamani ilivyopanda wakauza bitcoin 20 na faida kuitumia kuitumia kujenga shule. Hakuna siku imetokea BoT wameuza Dola pale ambapo TZS imepanda ili wapate faida kama el Salvador wanavyofanya.
Hata Rais amesema kuwa faida...
Currency Speculations ipigwe marufuku na hatua kali zichukuliwe kama wafanyavyo wachina.
Faida ya bitcoin inapatakinaje?
Bukele alijinasibu kutumia bitcoins kupunguza mdororo wa uchumi.
Foreign currency(na sio cryptocurrency) inahitajika TZ kwa sababu ya kufinance miradi na pia ku-import na...
Uliniuliza swali kuhusu rais wa TZ kumiliki TZS
Halafu unauliza tena swali lingine na mada nyingine
Na kwa msingi wa swali hili inaonyesha hiyo El Salvador yenyewe hufaitilii kiundani.
Pamoja na BTC kugeuzwa legal tender, el salvador kwa sasa wanaspeculate vile vile, Serikali ya El Salvador...
Ni kosa sana rais kuhamasisha kamari na yeye akiwa mshiriki. Au wewe unadhani jero ya TZS anayomiliki raisi ana-speculate akisikilizia ipande thamani aiuze?
Kaichangamshi au anainyonya sababu ya kuzubaa Kwa viongozi wapuuzi WA afrika mfano wa Zambia na DRC. Migodi ya Cobalt ya Congo kipindi inamilikiwa na wamerikani maisha ya wafanyakazi na watu wanaozunguka hiyo migodi ilikuwa Bora kuliko hivi sasa ambapo wachina ndio wanaimiliki na kupiga pesa...
Bukele(Rais WA hiyo nchi) ana miliki Pia bitcoins.
Amesababisha mdororo WA uchumi WA nchi yake tangu mwaka alipochaguliwa kuwa Rais mwaka 2019.
Sasa hivi ukuaji WA uchumi WA el Salvador ni -7%(hasi Saba).
Huu mpango wananchi wake wengi wanaupinga, baada ya kufanya BTC kuwa legal tender kukaibuka...
Ndio unatumia hela zako kununua Ila madhara ya speculations yanapoibuka ni sekta zote za uchumi huathirika.
Speculations zilichangia financial crisis kubwa zilizotokea duniani. Asian financial crisis ya mwaka 1997 ilisababishwa na currency speculations ambayo ilisababisha capital outflow na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.