Habari za Jioni wadau wa Jamii forum.
Kuna jamaa angu leo kanitembelea kazini kwangu tukawa tunapiga story za hapa na pale. Jamaa angu akanibia aiseee siku hizi nawashwa mkundu hatari. Ikabidi nimuulize tena alichokisema? Manake nilishangaa kidogo.
Akasema vile vile kuwa sikuizi anawashwa...
Habari wana JamiiForums.
Niende moja kwa moja kwenye mada. Ninaye rafiki angu sana tumeshibana sana. Yeye ameao pande za Tanga. Binti wa kidigo mfupi kiasi, mzuri na anachoo cha kutosha.
Sasa juzi kati kaja home, nilivyomtazama nilimuona mtu wa mawazo sana. Nikamuuliza JX vip mbona si kawaida...
Habari ndugu zangu. Baada ya salamu niende moja kwa moja kwenye mada yangu.
Kama tunavyojua kuwa leo na kesho chama cha Mapinduzi CCM inapitisha Mgombea wao kupitia mkutano mkuu wa chama. Na mkutano huo wanafanyia ukumbini kwao.
Vipi mkutano mkuu wa CHADEMA kitafanyikia wapi? Hotelini au...
Habari zenu wakuu poleni na miangaiko ya huku na kule kutafuta chochote.
Niende moja kwa moja kwenye Hoja.
Kama ilivyokawaida na kanuni na taratibu bila kusahau katiba yetu inavyosema, baada ya miaka 5 ni uchaguzi mkuu nchini kwetu.
Nimekaa na kuwaza na kutafakari kwa kina sana juu ya...
Habari zenu wakuu.
Mara baada ya salama naomba niende moja kwa moja kwenye mada.
Kuna Binti moja mzuri sana kiumbo na kisura lakini huyu binti amefuga kucha ana kucha ndefu kweli kweli mpaka sametimes anapofua namuonea huruma anavyoangaika.
Sasa swali langu liko hivi, je anawezaje...
Habari zenu wakuu.
Niende moja kwa moja kwenya Mada.
Ili upendwe na mwanamke fanya haya kwa wakati husika.
No 1. Mpe pesa
No 2. Mpe pesa
No 3. Mpe pesa
No 4. Mpe pesa.
No 5. Hata kama unaumwa na huko maututi mpe pesa
No 6. Hata kama huna pesa wewe mpe pesa tu
No 7. Mpatie pesa bila kujali una...
Habari za asubuhi wana JF?
Baada ya salamu nijikite kwenye mada husika.
Naombeni kuuliza pia kama wahusika wapo humu wanisaidie.
Nimejiuliza maswali mengi sana kuhusu hawa ndugu zangu na si kwa ubaya bali kwa mema tu.
Maswali niliyojiuliza yanahusu maswala ya ndoa na mapenzi ya dhati kati ya...
Habari wanabody.
Hii habari imenishtua kidogo. Kama ni kweli basi wankenya wapo juu mawinguni kwa wizi
China yashtushwa baada ya kontena la msaada waliotoa kwa serikali ya Kenya kuwasili likiwa tupu
Source: BBC Swahili
Habari wanafamilia ya jamii forum. Baada ya salamu niende kwenye Mada husika.
Kama nilivyoanza kwa kuuliza Swali hapo juu. Nahitaji kujuzwa Kama ni kweli mtu yeyote hatorusiwa kupiga kura Kama hana kadi ya chama chochote Cha siasa au hajaandikwa kwenye kitabu/daftari la wanachama wa CCM au...
Nawasalimu.....!!!
Baada ya salamu. Nijikite moja kwa moja kwenye mada.
Kuna binti mmoja mzuri sana imetokea kumpenda Sana. Kila nikimpiga simu naambiwa Subiri nitakutafuta baadae, lakini baadae sitafutwi ana maana gani?
Naombeni ushauri aiseee
Habari zenu wakuu. Niende Moja kwa Moja kwenye mada bila ya kupoteza muda.
Naomba niwaleteni kile nilichojifunza ama nilichokiona kwa majirani zetu Nairobi Kenya
1. Usafiri. Hapa nawapongeza Sana. Miundombinu ya barabara Ni nzuri na ya kuvutia. Barabara zao nyingi njia 4 adi 6 pia Ni high way...
Habari za asubuhi wakuu.
Hi imenisikitisha Sana. Nisiongee mengi.
" Mchumba wangu ananipiga mara kwa mara,Lakini bado nampenda,Na tuko mbioni kufunga ndoa,nifanyeje?"
Habari wakuu naamini mmeshinda salama baada ya mizunguko ya siku. Basi nisiwachoshe Sana niende Moja kwa Moja kwenye mada husika.
Naomba mwenye sms za Kimahaba atupie hapa tuone anavyompa demu mstari. Hata wewe binti kama Kuna jamaa aliwahi kukutongonza naamini kabisa Bado unakumbuka hiyo...
Kheri ya mwaka mpya wapendwa?
Baada ya kuwatakieni kheri ya mwaka mpya nikimbie moja kwa moja kwenye mada husika.
Mwaka Jana nilibahatika kupata binti mrembo kutoka Tanga. Na kuamini kuwa Tanga Kuna watoto wakali. Sasa mbinde imetokea juzi tukiwa kwenye six by six anataka nimkule Tigo bila...
Habari wakuu. Naamini mmeamka salama ingawa wengine tumeamka na hang over ya sikukuu.
Karibu tushare YALIYOJIRI Jana wakati unasherekea sikukuu ya XMASS.
Binafsi nilikutana na haya...!!
Habari za asubuhi wakuu. Naamini mmeamka salama salimini. Baada ya salamu, naomba nijikite kwenye mada moja kwa moja.
Ndungu zangu mnaotegemea kusafiri kwa kipindi hichi Cha sikukuu za Xmass na mwaka mpya, chonde chonde msitumie mabasi ya Luck Star ambayo boss wake pia Ni mabasi ya Princess...
Igweeeee....wana Great thinkers.....!!!
Baada ya salamu. Nijikite moja kwa moja kwenye Mada tajwa hapo juu.
Ndugu, vijana wa kiume usiruhusu binti ama mwanamke akuzarau aisee utapata tabu Sana. Tena nasema utapata tabu Sana. Haizalishi una pesa ama huna pesa Tena Kama huna ndiyo inakuwa balaa...
Naomba USHAURI Mpangaji Jirani yangu wa Kike anaomba nimkopeshe pesa Sina mazaoea nae..!!
Habari wakuu. Naamini mpo salama salmini. Baada ya Salam niende moja kwa moja kwenya mada.
Ipo ivi wiki chache zilizopita nileta bandiko hapa nikiomba ushauri Kama kichwa Cha habari kinavyoonesha hapo...
Habarini wakuuu.
Moja kwa moja kwenye mada bila ya kupoteza wakati.
Ndugu wana great thinkers....naamini humu Kuna watu wenye mawazo tofauti tofauti. Nami nakuja kwenu nikiomba ushauri wenu wa Hali na Mali.
Ninaishi kwenye nyumba ya kupanga. Nyumba ina wapangaji wanne lakini kila mmoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.