Nyumba ya gorofa kwa ajili ya kuishi inahitajika. Iwe maeneo yasiyo na msongamano kama vile Mbezi beach, Tegeta, Boko, Kijichi, Bunju, Tabata na maeneo mengine yenye tabia kama hizo. Piga 0786 046 484 au email gmwiga@yahoo.com
Shamba lenye ukubwa wa ekari kumi linauzwa. Lipo km 6 kama ukitokea makabe, Morogoro Road au km 8 kupitia mbezi mwisho. Lina faida zifuatazo:- banda unaloweza kufugia ng'ombe, bonde zuri unaloweza kulima mpunga au mbogamboga, kuna minazi na miembe. Mauzo yatasimamiwa na Nsamy Real Estate and...
Katibu mkuu ni mtu wa kuteuliwa, yupo hapo alipo kwa mapenzi ya president(a presidential appointee) hivyo anaweza kutimuliwa muda wowote na bosi wake au yeye mwenyewe kuwajibika kwa heshima ya bosi wake. Sheria ya kazi ina nafasi ndogo sana au haina kabisa kwa nafasi za kuteuliwa kama hizi...
Kwa huduma bora za kisasa na kwa bei nafuu, tunatoa huduma zote za kuprint kama vile kuprint tshirt, vitabu, kofia, magazeti, vijarida(magazine), banners, posters, vipeperushi, business cards, kalenda, bronchures na huduma nyingine zote za kuprint. Tuna mitambo ya kisasa kabisa ya digital...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.