Naomba kujua malipo ya ushuru Wa vyombo vya moto unapoagizia kutoka China kuja Tanzania
Mwenye udhoefu tafadhari tuambizane namba zangu za WhatsApp 0787701403
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau habari za humu,naomba kujua ni nini huwa wanaweka kwenye juice inavyokuwa imetengenezwa hata ikae muda mrefu kama miezi hata mitatu miwili,idea yangu nataka kuanzisha kiwanda cha kupack juice original ya pachichi mixer na papai,sasa nahitaji kuweka kwenye Vifungashio ili niwe nasambaza,na...
Habari wadau natafuta injini za kusagia Mahindi za uingereza au Japan HP 40 mwenye anayejua zilipo anielekeze,au anitumie meseji kupitia Namba +255789139153 WhatsApp
Sent using Jamii Forums mobile app
Msaada wanajamii,haya ni aina gani ya madini na soko lake liko wapi,nimeweka picha hapo chini napatikana kwa WhatsApp 0787701403
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau hii ni aina gani ya madini? Na soko lake kwa hapa Tanzania liko wapi,na bei yake ikoje msaada please nimeambatanisha na picha hapa chini,yana rangi ya dhambarau,
My WhatsApp number 0787701403
Nauza Unga Wa muhogo,bei ya kilo moja ya Unga Wa muhogo safi ni shilingi elfu moja tu,na umepakiwa katika Vifungashio Vya kilo tano tano kama inavyoonyesha picha hapo chini,tunatuma mikoani,namba zangu WhatsApp tu; +255789139153,hapo kwenye picha tatu kuna super sembe,super muhogo,na super rice...
Nauza karanga mkoani tunatuma,kwa aliyeko dar mzigo ukifika ndipo atalipia,kwa mikoa mingine tunatuma kwanza hela ndio tunakutumia ,WhatsApp;+255789139153
Nakaribisha wateja Wa kutoka mikoani ,kuwa nauza karanga kwa bei ya jumla kabixa kutoka Urambo tabora,kwa Mteja Wa dar tunamfikishia mzigo ndio anatoa hela,au akipenda analipa kabixa,mikoa mingine utatuma hela ndio tukutumie
Habari zenu wakuu,naomba mwenye kujua bei za mashine zifutazo anifahamishe na mahali zinakopayikana na za kumenya mpunga
SB 30
SB 50
Bei yake kwa tz wadau
WhatsApp no +255789139153
Natafuta Wateja wa dar-es-salaam na mwanza niwe nawatumia mchele kutoka Mpanda,kwa bei ya jumla nafuu kabixa,
Namba zangu za simu ni WhatsApp +255789139153
Tafadhari mwenye hii taarifa ya mh rais Dr. Magufuli kuidhinisha mapori ya akiba ya burigi/biharamulo,kimisi,ibanda rumanyika Kuwa hifadhi za taifa, atujuze make nimesikia kwa juujuuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.