Search results

  1. L

    Freeman Mbowe awasili kituo kikuu cha Mabasi Ubungo na kulakiwa kwa shangwe kubwa

    Tumechoka CCM Tumechoka CCM Tumechoka CCM . . Ni kawimbo ka line moja. Kama ukikasoma hakana nguvu. Ngoja kaimbwe. Kwa wale wanaotambua hata Jeshini kuna kikosi maalum kwa ajili ya kuimba na kuwapa hamasa wanajeshi wenzao wanapokuwa mstari wa mbele vitani. Jana haka kawimbo kaliimbwa na...
  2. L

    CCM Inajiandaa kukabidhi nchi kwa CHADEMA-Lwaitama

    umeshakula buku saba zako
  3. L

    CCM Inajiandaa kukabidhi nchi kwa CHADEMA-Lwaitama

    Katika mazingira yaliyopo CCM IMESHAANZA kuachia nchi kwa cdm na Ukawa Malumumba buku sabasaba njoni mbishe KUB Safi kwa kuhakikisha nchi inarejea katika mapigo ya moyo ya kawaida
  4. L

    Jinsi ya kupika chapati laini na zenye ladha nzuri

    Samli iliyobaki inaenda wapi
  5. L

    Jinsi ya kupika chapati laini na zenye ladha nzuri

    Tafadhali naomba kujua samli,, kiingereza chake ama naipataje? Ushamba jameni
  6. L

    Mapishi ya maini fasta

    Jamani mie tu nina hobi ya kupikapika, hivyo napenda kujifunza mapishi mbalimbali.
  7. L

    Mapishi ya maini fasta

    Kabisa Farkhina noma.
  8. L

    Mapishi ya maini fasta

    kwa ninavyokufuatilia kimyakimya ukikubali naona nimepresent sawa. Asante
  9. L

    Mapishi ya maini fasta

    Wachache sana wanajua namna ya kupika maini yaive vizuri, yawe matamu ndani ya muda mfupi. Fuata recipe hii then utaenjoy Mahitaji: 1. Maini 1/2kg 2. Kitunguu kikubwa sana kimoja 3. Karoti kubwa moja 4. Hoho (Yellow, Green na Red) kila moja ikate nusu yake 5. Nyanya tatu zilizoia vizuri, ziwe...
  10. L

    Zitto kutimkia ACT-Tanzania?

    Wanabodi: Hoja iliyopo ni kuwa ZZK sasa ni mwanasiasa anayening'inia. Ameshikiliwa na huruma za kibinadamu kwa wale wenye maamuzi ya kumalizia kumdondosha. Kwa kusema hivi sipingani na ukweli ulio wazi kuwa ZZK ni mwanasisasa mwenye haiba kubwa ya siasa, ambaye chama chochote kingependa...
  11. L

    Vijana wa CHADEMA wamepoteza matumaini na chama chao na Viongozi wao

    Which best way other than this to reply a thread with no content and poor presentation, moreover, to a desparate person? Tell her to come again jamaa.
  12. L

    Vijana wa CHADEMA wamepoteza matumaini na chama chao na Viongozi wao

    Mambo ya kuzingatia: 1. Very poor presentation: Juliana Shonza wewe ni graduate, tunategemea unapowasilisha hoja zako pamoja na 'content' unatakiwa kuzingatia 'punctuations', Yaani matumizi sahihi ya vituo na herufi kubwa. Kwa uchache nimekuonyesha. Hiyo kabla ya kuandika tena pre requisite ni...
  13. L

    RASIMU ya Katiba Mpya Tanzania yazinduliwa

    Nimeipenda rasimu ya katiba mpya, ila nilipoingalia kwa jicho jingine nikagundua kuna gharama kubwa sana kuifanya iwe halisi Ila always cheap is expensive. Tusiogope
  14. L

    Vurugu kati ya CHADEMA na CUF juu ya USHOGA zasababisha Bunge kuahirishwa

    Wanabodi, Sio vizuri wakati mwingine kulaza akili zetu kwa sababu ya ki-shabiki ama ushabiki usio na maana. Mara nyingine tunasema, Mfano: Mwigulu Nchemba ni Naibu Katibu Mkuu CCM. Logically ama Kimantiki tunasema, "Mwigulu Nchemba ni kati ya viongozi wa juu wa CCM". TUJE KWENYE ISHU YA...
  15. L

    Bunge laahirishwa ghafla kutokanana msemaji wa upinzani kudai serikali inaua waandishi wa habari

    There are currently 6906 users browsing this thread. (335 members and 6571 guests) ma-CCM sijui yatajifunza lini?
  16. L

    Story behind your date of birth

    nilitaka unelezee ikoje hii............
  17. L

    Story behind your date of birth

    mimi namba 3 nadate na namba 8=of course is not either best or good match mmmh!
  18. L

    Mwigulu: Nilikuwa safari kikazi kwa siku 12, nimerejea

    Unamaanisha God the Almighty au unamaanisha miungu godds. Maana Capitalzation ndio inawatofautisha. Nakufahamu tunasali wote kanisa moja hapa Boko, naamini u meant God. Rekebisha ndipo ni drop ya kutoka CDM
Back
Top Bottom