Tumechoka CCM
Tumechoka CCM
Tumechoka CCM
.
.
Ni kawimbo ka line moja. Kama ukikasoma hakana nguvu. Ngoja kaimbwe. Kwa wale wanaotambua hata Jeshini kuna kikosi maalum kwa ajili ya kuimba na kuwapa hamasa wanajeshi wenzao wanapokuwa mstari wa mbele vitani.
Jana haka kawimbo kaliimbwa na...
Katika mazingira yaliyopo CCM IMESHAANZA kuachia nchi kwa cdm na Ukawa
Malumumba buku sabasaba njoni mbishe
KUB Safi kwa kuhakikisha nchi inarejea katika mapigo ya moyo ya kawaida
Wachache sana wanajua namna ya kupika maini yaive vizuri, yawe matamu ndani ya muda mfupi. Fuata recipe hii then utaenjoy
Mahitaji:
1. Maini 1/2kg
2. Kitunguu kikubwa sana kimoja
3. Karoti kubwa moja
4. Hoho (Yellow, Green na Red) kila moja ikate nusu yake
5. Nyanya tatu zilizoia vizuri, ziwe...
Wanabodi:
Hoja iliyopo ni kuwa ZZK sasa ni mwanasiasa anayening'inia. Ameshikiliwa na huruma za kibinadamu kwa wale wenye maamuzi ya kumalizia kumdondosha. Kwa kusema hivi sipingani na ukweli ulio wazi kuwa ZZK ni mwanasisasa mwenye haiba kubwa ya siasa, ambaye chama chochote kingependa...
Mambo ya kuzingatia:
1. Very poor presentation:
Juliana Shonza wewe ni graduate, tunategemea unapowasilisha hoja zako pamoja na 'content' unatakiwa kuzingatia 'punctuations', Yaani matumizi sahihi ya vituo na herufi kubwa. Kwa uchache nimekuonyesha. Hiyo kabla ya kuandika tena pre requisite ni...
Nimeipenda rasimu ya katiba mpya, ila nilipoingalia kwa jicho jingine nikagundua kuna gharama kubwa sana kuifanya iwe halisi
Ila always cheap is expensive.
Tusiogope
Wanabodi,
Sio vizuri wakati mwingine kulaza akili zetu kwa sababu ya ki-shabiki ama ushabiki usio na maana.
Mara nyingine tunasema, Mfano:
Mwigulu Nchemba ni Naibu Katibu Mkuu CCM.
Logically ama Kimantiki tunasema, "Mwigulu Nchemba ni kati ya viongozi wa juu wa CCM".
TUJE KWENYE ISHU YA...
Unamaanisha God the Almighty au unamaanisha miungu godds. Maana Capitalzation ndio inawatofautisha. Nakufahamu tunasali wote kanisa moja hapa Boko, naamini u meant God. Rekebisha ndipo ni drop ya kutoka CDM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.