Naomba msaada wa matibabu kwani ilianza maumivu ya kifua na nilishawahii kutumia antibiotics capsules za aina tofauti bila mafanikio, kuna wakati makohozi yalikuwa na chembechembe nyeusi, suviti sigara. baadae nikaanza kuhisi harufu mbaya mdomoni, hali ipo mpaka leo, makohozi bado napata na...
Ofisi ya mkuu wa mkoa tabora imesambaza waraka ukiwaelekeza wafanyakazi wote mkoani hapa kushiriki katika maandamano ya kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa tanganyika. Waraka huu unasambazwa na kikundi cha watu wasiopungua 8 pia wanajeshi wapo. Wanapofika ofisi, mkuu wa ofisi anatakiwa ataje idadi...
Pamoja na bajeti ya kambi rasmi ya upinzani bungeni ya wizara ya mambo ya ndani ya nchi kulitaja jeshi la polisi kuwa ndio taasisi inayoongoza kwa kuomba na kupokea rushwa na changamoto mbalimbali zilizojitokeza wakati wa mjadala wa bajeti ya wizara hiyo, jana majira ya saa kumi na mbili jioni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.