Kwa kweli inasikitisha, badala ya kutengeneza mfumo wetu wa kujitegemea tunajipeleka kwa waarabu. Haeajawahi kuwa watu wazuri kwetu tangu enzi za biashara ya utumwa. Self reliance ya JKNyerere Iko wapi sasa?
Hii ni ishara ya kukosa cha kufanya. Yaani wamekusanyana ikulu kutiliana Saini mikataba ya umeme hewa. Hii miradi ya umeme ni upigaji, ufisadi na uchawa tu.
Nyie hamkuwahi kutudanganya eti vijiji vyote vimebarikiwa na umeme wa REA. Kule wilayani Mbinga karibu vijiji vyote havijafikiwa na...
Hii nchi idadi ya wajinga inaongezeka kwa kasi kubwa sana. Kweli vyombo well trained kwa Kodi zetu wameshindwa kukamata waliompiga risasi Lisu? Instead narrative ya dereva kumpiga Lissu inakuwa celebrated? Narrative ya kushindwa kupeleleza sababu Lisu hayupo nchini inakuwa ndio Hoka? Hebu tuwe...
Ni kweli wanaodhani dereva alimpiga risasi Lisu ni wajinga tena kwa kiwango cha lami. Dereva angetaka kumwua Lisu asingesubiri aende pale Area D na ampige risasi pale. Katika akili za kawaida maana yeye anaye muda mwingi anamwendesha angeweza ku-fake accident, etc.
Shida tuliyo nayo watanzania ni kusadiki source of knowledge ni authority, Kwa vile rais ana mapolisi na mavyombo mengine ya mabavu anayoyatumia kuhakikisha utopolo wake uonekane ni absolute knowledge. Kama ni mjinga utaendelea na ujinga wako mpaka utakapojitambua kuwa unapaswa kujielimisha ili...
We are too naive. Wameambiwa kama the investigation is beyond their ability, they should ask for assistance for well qualified firms like Scotland yard, CIA, Mosac etc. The story should be cut short
You need not regret kazi utapata tena yenye heshima kulingana na taaluma yako. Achana na upolisi kazi ambayo aina heshima mtaani. Ujue polisi wote wakisoma sana nani atalinda Benki na majumba ya ma- DC, RC, Waziri, na waheshimiwa waliofeli pia form four na six
Shida ya kazi za kiroboti bila kutumia akili yako ndio hiyo ya kuachwa in the wilderness na mwendazake anapoondoka. Bora anapozimika ghafla wasiojulikana wake aondoke nao. Maana sasa wanaachwa wakiangaika kama vifaranga bila mama kuku.
Kule Mtwara walitaka kumhadhibu Ghasia kwa sababu ya koroshow, wakatoa maelekezo kwa tume imtangaze wa CUF, na kule Nkasi walitaka kumhadhibu Kessy sababu anajifanya muongeaji asiye na mipaka, tume ikaelekezwa apigwe chini. Amefanikiwa kuua upinzani bungeni lakini mioyoni ndio kachokoza nyuki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.