safi sana tz, unajua huu ushrikiano mara nyigi ni shida, kama hautatazamwa kwa umakini,tazama yaliotokea uingereza, waligundua ilikua inakula kwao kila kukicha.
Mambo Ni yale yale.kwaanae kumbuka vizuri speech ya kwanza kabisa ya jk iaweke hapa kwa maslai yetu sote,kama nakumbuka vizuri ilikua hivi, napenda mtumie muda wenu mwingi kufikiria jinsi gani Umeme utashuka bei.,badala ya kutumia muda wenu mwingi kufikiria njinsi gani utapanda bei,my feisty...
Watanzania tutaabika sana, kila mchapa kazi anapakwa tope,hata hampimi faida-hasara?kwa mtindo huu hatutafika kamwe.Dr kapaisha nssf hamuoni?hata akilijilipa still amefanya kazi nzuri sana.
Kiongozi,hili suala lisiwaumize kichwa sana nchi hii ishauzwa. Hii issue ilisukwa na wakubwa wote wanahusika including viongozi wa vyama vya upinzani wanajua na walihusika kwa asilimia zote. Hivi hamuoni kwamba pamoja na ufukunyuaji maovu wote unaofanywa na chadema hawajawahi kulivalia njuga...
Experience inamata sana kwenye ilo.alikuwa mtoto and very faithful so hakuwa na haja ya kuzijua coz hakuwa na hofu yoyote. Mpe muda ataelewa tu, kwa sasa beba wewe ilo jukumu coz u seem to be good in it, usimfanye ajione mjinga utamstress bure.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.