Na Amiri kilagalila-Njombe
Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI, Mwita waitara amewaonya wanaccm wanaoendelea kukihujumu chama cha mapinduzi angali bado ni wanachama huku wakijua hawakitendei haki chama hicho.
Waitara akiwa mkoani Njombe amesikitishwa na...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 22 Julai, 2019 amemuapisha Mhe. George Boniface Simbachawene kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira na Mhe. Hussein Mohamed Bashe kuwa Naibu Waziri wa Kilimo.
Hafla ya kuapishwa kwa...
Wakuu kwa facts nyingi nilizopitia humu nimegundua ya kwamba viongozi wengi wa Serikali waliotumbuliwa mijadala yao na maonyo mengi juu ya mambo mabaya yalianzia humu jamiiforum.
Ukiangalia akina mwigulu, Charlesz, nape, kitwanga na wengine wengi.
Ambao bado sijaona mijadala yao inayowahusu...
1.Bomba inch 4 mita 6na mfuniko wake
2.Bomba ya bafu inch 2 na chujio yake mita 3,
3.Sink 1
4.Elibo moja
5.Nondo milimita 12
6.Waya mesh
7.Binding wire kilo 1
8. Misumari inchi 2 na nusu kilo moja
9. Cement mfuko mmoja
Tafadhali mwenye kujua bei ya vifaa hivyo anisaidie kwa walioko...
Hapa singida leo ni siku ya tatu tunahakikiwa vyeti mara baada ya tapeli kuvuruga zoezi lililokuwa likifuata, tapeli kumbe alishapenyeza watu wake wengi sana . kakamatwa juzi na wana usalama na kupewa kipigo.
Kwa hiyo zoezi la uhakiki limeanza upya, vijana wengi wametoroka wasije kukutwa na...
Yaani hiyo request for loan statement yenu mliyoweka kwenye tovuti yenu hivi mnajua kama iko active? Au mmeweka ili mradi eti mmeonesha ubunifu wenu?.
Yaani mtu unaandika details zote zinazohitajika unakaa kusubiria ulichoomba hakiji.
Mnamwambia mtu aandike chuo alichosoma, je akiandika jina...
Wadau bodi ya mikopo elimu ya juu ichunguzwe kwa kuwafisadi wanufaika .
Hebu someni hapa.
Kuna mdogo wangu amesoma Urusi medicine. Amefika hapo Tanzania na deni la milioni 52 yaani hiyo ni Principal tu baada ya kupata kazi katika moja ya Hospital kubwa hapo Dar ya Private, mwajiri wake...
Huyu jamaa tulijua tu atakuwa mbunge .
Kila la heri miraji mtaturu.
Mh. Naomba umteue prof lipumba kuwa mkuu wa wilaya ya ikungi.
====
CCM yampitisha Mtaturu kugombea jimbo la Tundu Lissu…
Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimemteua aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Miraji Mtaturu kuwa mgombea...
Wadada wa siku hivi ni kwa nini mnapenda Ku do na wanaume za watu? Yaani ukimtongoza sholi utasikia anakuuliza kwani wewe umeoa?. Ukisema ndio, utasikia sholi anasema safi sana , afadhali nimepata mtu wa maana.
Tena ukiwa Mme wa mtu wewe huongei maneno mengi ,nikuvuta mzigo ndani fasta.
Wame...
Jali maisha yako na familia yako kwanza, wewe ni msomi tena mwenye uwezo na kisomo cha hali ya juu sana kwenye masuala ya sheria. Tafuta huko ulaya kazi yeyote ile ufanye.
Huku jimbo lako tiari limeshachukuliwa na miraji na wananchi wanaonekana kumpenda miraji sana
Hiyo September utakuja...
Matokeo ya kura za maoni CCM Jimbo la Singida Mashariki Ndg Miraji Mtaturu ameshinda kwa kura 396 sawa na ushindi wa 66% kati ya kura 634 huku wagombea wengine 12 wakigawana kura zilizosalia.
===
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida, Miraji Mtaturu ameshinda kura za maoni kwa tiketi ya...
Baba wa taifa ulikuwa mtu wa Mungu kweli kweli, hukupenda kujijali bali uliwajali wengine, hukujipendelea bali ulitaka wengine wapate sawa na wewe.
Njoo ushuhudie wenzako wanavyojijali na kujipenda .
Hongera kwa kutuachia misingi mizuri na ndio viongozi wetu wanaifuta.
Na sasa tunashukuru...
Wakuu habari ? Naomba kujua sheria ipi inayowezesha mtu kuendesha mnada wa hadhara .
Tangazo linatakiwa la mnada litolewe kwa muda gani ?
Naamini humu kuna watalaam watanisaidia
Jana kulitolewa majina ya watia nia ya kugombea jimbo la singida mashariki na mmoja wa hao watia nia ni miraji mtaturu mkuu wa wilaya ya ikungi.
Sasa someni hapa chini muone jamaa walivyoonza figisu figisu za kumchafua
..............................................
Nawasalimu sana wanandugu...
Wakuu habari zenyu?
Leo usiku nikiwa nimelala nikajikuta naota kuwa mgombea ubunge kwenye jimbo la TL kupitia chadema kapigwa chini na tume baada ya kuambiwa kakoswa sifa za kugombea, mara nikaona mgombea anasema kuwa tutaenda mahakamani ili haki ipatikane, haiwezekani mtu nimejaza form zote...
NIMROD MKONO ni Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini aliyechaguliwa mwaka 2015. Hajawahi kuonekana Bungeni tangu mwaka 2016 mwaka mmoja kabla ya Mhe. Tundu Lissu kupigwa risasi.
Lakini yeye analipwa mshahara wake wote na hatujawahi kusikia taarifa yake yoyote huko Bungeni ikiwekwa wazi.
Taarifa...
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amewataka waganga wakuu wa mikoa kuchukua hatua za makusudi kuzuia mbu waambukizao homa ya dengue na kusisitiza mikoa iliyo mpakani kuchukua tahadhari ya ugonjwa wa ebola.
Waziri Mwalimu ameagiza hayo jana jijini Dodoma...
Kumekuwepo na tabia ya baadhi ya wateule wa rais kudharau kazi zinazofanywa na watumishi wa kada mbalimbali mkoani kwake
Yaani unakuta mkuu wa mkoa yupo kwenye kikao na watumishi wa mkoa wake anaanza kuzungumzia na kudharau kazi zinazofanywa na watumishi ndani ya mkoa wake
Acheni watumishi...
Tundu lissu usitetekeleke hata kidogo, ubunge au cheo sio uhai, cha msingi uhai kwanza.
Kuna watu wanajidai sana hapa duniani ,wanajiona wao ndio wao eti haipo siku wataacha hayo mavyeo yao.
Tundu lissu nakutabiria utapata kazi nzuri huko umoja wa mataifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.