Waandishi wa Mwanza wameweka maadili mfukoni. Wanaauza weledi na utu wao kwa bei ya aibu.
Mzee Juma Falijara ndie mnunuzi mkubwa. Anajiita Mshauri Na. 5 wa Maadaili wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete.
Mzee huyu hataki kuona Serikali ya CCM ikikosolewa. Kumkosoa Rais hataki kabisa. Waandishi...
Na. Martin M. Malima
Tangazo la Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Zuberi Kabwe la kugombea Urais kama atapitishwa na Chama chake cha Chadema linaripotiwa na vyombo vya habari kuzua tafrani ndani ya Chadema. Binafsi sina hakika na uwepo wa tafrani hii ndani ya Chadema kwani naamini Chadema...
Mhe. Mulugo, Naibu wa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi alisoma High School Songea Boys kuanzia mwaka 1994-1996. Habari za kuaminika kutoka kwa mmoja wa wanafunzi wa Songea Boys kipindi hicho anasema kuwa Philipo Mulugo wa sasa sio yule aliyekuwa Songea Boys kipindi hicho. Mtoa habari...
Tumwombee mbunge mteule wa Arumeru Mshariki Jeremiah Sumari apimzike kwa amani... Ukweli ni kwamba baada ya kifo chake lazima kiti kizibwe.. Kamnda JOSHUA SAMWELI NASARI anaweza kujipanga kutimiza ahadi yake. Agali matokeo ya NEC mwaka 2010.
ARUSHA...
TAARIFA KWA UMMA
TAHADHARI YA UWEPO WA DAWA BANDIA KWENYE SOKO
1. Utangulizi
Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) ni taasisi ya Serikali iliyo chini ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii iliyoanzishwa chini ya Sheria ya Chakula, Dawa na Vipodozi Na.1 ya mwaka 2003. Mamlaka ina...
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU USALAMA WA SAMAKI WALIOINGIZWA NCHINI KUTOKA JAPAN
1. Utangulizi Itakumbukwa kuwa mnamo tarehe 24 Julai 2011, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ilitoa taarifa kwa umma juu ya samaki waliohisiwa kuchafuliwa na mionzi ya nyuklia kuingizwa nchini Tanzania...
Gazeti moja la kila siku liliwahi kuandika kuwa moja ya sababu zilizopelekea kumwengua Mhe. Hamdi Rashidi kwenye nafasi yake ya kuwa Kiongozi wa wabunge wa CUF bungeni ni ukaribu wake na Mhe. Waziri Mkuu Mizengo Pinda. Gazti hilo lilikwenda mbali na kusema kuwa Mhe. Hamad Rashidi alifikia hatua...
Tulianza pamoja, na tutamaliza pamoja.
Nakumbuka wakati tunafanya sherehe ya kujipongeza kwa ushindi wa Jimbo la ubungo, tulimwambie kamanda huyu kuwa tunakutuma bungeni ukawe mbunge wa mfano ambaye kamwe hutokuja kujiinua na kujiona kuwa ni maarufu kuliko CHADEMA ka mawabunge wengine vijana...
Kulikuwahi kuvuma tetesi kuwa kuna mpango wa kumng'oa Mbatia katika nafasi ya uenyekiti NCCR-Mageuzi. Katika mpango huo baadhi ya mbunge/ wabunge kutoka KIGOMA ana/wanahusika. Wana JF mpango ulifikia wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.