Mgonjwa akitumia ARV kuanzia miezi mitatu inasemekana Hawezi tena kuambukiza kwenda kwa mwingine na hii inatokana na ARV kufubaza Virusu vya Ukimwi(VVU) na ndio Maana Cd4(Kinga ya Mwili) inaonekana Kupanda Over.
Papaa Masai Yule alifanya vizuri na Nyimbo ya Ng'aring'ari akimshirikisha Alikiba. Uyu jamaa nilikutana nae pale Chochoro za Temeke kwa Wahaya akiwa speed sana.
Habari na kheri ya mwaka Mpya JF japo stress zimetawala.
Naomba kwenda katika point direct, NSSF Mtwara kuna wahudumu wachache huwa wanaenda Mapokezi na kupiga Picha Namba za simu za wateja walioingia pale hiyo Siku katika kitabu cha wageni na kisha kuwapigia huku wakinukuu personal information...
NIDA Kuna Jambo linaendelea katika simu za Wananchi ambao Hawajasajiliwa na hata kujiandikisha ili Wapate Namba Ya Uraia Wa Tanzania, Nalo ni Wanapokea Ujumbe Wenye namba za Uraia tokea NIDA na wanafurahia kufikiria Mumeamua kuzigawa kwa Mtindo huo Pasipo jiandikisha ama lah na Mwisho wa siku...
Habari za saa hii hapa JF,
Naomba nisaidiwe kufahamu hiki kipindi ambacho mtu anakuwa katika upande wa amepata maambukuzi ya Virusi Vya Ukimwi lakini bado ule muda wa mwezi mmoja mpaka mitatu bado haujafika (Muda huu akipima kipimo kinaonesha NEGATIVE) Je, anaweza kuambukiza kwa mtu mwingine...
Nenda kituo cha Afya umuone daktari atamtazama na mtoto then atakupatia tiba au ushaur sahh huku mgonjwa kamshuhudia, Pia usiwaze sana hayo n mambo yakawahda pnd tupo watoto ktk Harakat za kuelekea Ukubwani.
Tulizana Ndugu, Kiufupi tu hapo sio sehemu Sahh kwako kimwili mpaka ki afya, Anakushauri vipi utoe mimba huku n mumeo pasipokua na strong point? Unafaham nini kifuatacho baada ya kutoa mimba ktk Mji wako wa Uzazi? Jiurumie tulizana pingana na tamaa zako wako wanaokupenda na kuitambua thaman...
Mkuu nunua Marapa(Viatu) tokea dsm then enenda nayo mkoani inalipa sanaa, Tumia lak 4 kwanza nyngne weka hakiba. Au chukua spray then enenda nazo mkoan pia pitia pitia karibu na vyuo au shule zle sku za wk end amini utakua bingwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.