Nahitaji mwalimu mzuri wa form one physics, chemistry, biology na Maths na mwalimu wa commerce, geography, bookkeeping and History awe Dar es salaam crash programme ya siku 10. PM me please
Wadau kama kuna mtu anaweza niambia wapi naweza kupata original battery za samsung S3 na S4 hapa Dar maana kila ninazonunua nakuambiwa ni original mwisho wasiku ni fake
Anahitajika mtu wa kufanya translation vizuri kutoka kiswahili kwenda kingereza kwa bei poa. Mimi niko Arusha ila hata kama uko Dar es salaam tunaweza kukubaliana
Nyumba mpya ya kuvutia inapangishwa Ukonga Banana: iko km mbili kutokaairport
Mwendo wa dakika tano kwenda kituo cha mabasi banana: Ina vitu vifuatavyo
-Master bed room-1
-Extensive Sitting room (with six angles view)
-Dining Room
-Kitchen
-Vyumba vya kulala vikubwa-3
-Store
-Public Toilet...
Nahitaji mwalimu wa kifaransa atakae nifundisha mimi na mtoto wangu kwa siku za weekend kwa muda wa miezi mitatu. I'm a beginner. Mwenye contacts na mwalimu yeyote wa Kifaransa naomba.
Mashamba yanuzwa maeneo ya Mwale Masaki Kisarawe. Moja heka 4 lina, minazi kama ishirini, michungwa, miembe n.k Shilingi milioni 10. Lingine heka 1shilingi milioni moja na laki nane. Wanaouza ni wazee wanashida. manunuzi yanafanyika serikali ya kijiji anae hitaji ani PM nimuunganishe na wazee...
Kama kuna mtu anajua dawa ya mende anijulishe tafadhari, nimefanya furmigation lakini wamerudi tena najitahidi sana kuzingatia usafi lakini wanarudi tena wale wadogo wadogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.