Hivi kuanzia tarehe ngapi Anthony Diallo amekuwa na busara, achilia mbali akili ya kutambua anachojaribu 'eti kuchambua kisomi' hebu jaribu kurejea kumbukumbu ya utawala wako kama waziri wa Utalii. Sitarajii kuona ukikemea huu ujinga na upumbavu unaoendelea
Le Mutuz upambe wa dizaini hii unakuondolea hata kale kaheshima kadogo ulikokuwa umehifadhiwa na waungwana. Kama mtu mzima kwa Makonda (umri wa kumzaa) na mapenzi makubwa uliyonayo kwake kama pariiparii, tumia busara kumshauri atoe vyeti kukata ngebe ya haya yanayoendelea kwenye mitandao na...
Paskali Mayala umeniacha hoi,baada ya kufuatilia story yote hiyo nilikuwa naamini mwisho wake utatoa uthibitisho wa Vyeti,matokeo ya uchunguzi kutoka huko Koromije, majibu ya mahojiano yako na wazazi wa Mh.RC na mengine yote uliyotaka kuyafamu kutoka kwa hao wanaotoa tuhuma hizo.
kumbe Paskali...
Ila kiukweli Le Mutuz rudisha jeshi nyuma ujipange, hakika hawa wanaokuzodoa humu ni vijana rika la wanao (kwa umri ulionao) na ni ukweli usiopingika kwamba unajihusisha sana na vijana umri wa wanao,hii ni aibu kubwa. Mwisho, si lazima uwe mpambe/pariparii kwa watoto ili uishi,huwa najisikia...
Lemutuz si katika kila jambo unatakiwa kuonyesha unaegemea wapi ? Mwache RC Makonda ajibu tuhuma hizi yeye binafsi, itakuwa ni akili ya pariiparii wewe kujigeuza kuwa mtetezi wa Makonda kwenye issue sensitive kama hii.Hivi ikitokea mtu akagundua mmoja wa wafanyakazi katika ofc yenu ana vyeti vya...
Hili jambo linalo zungumzwa yapata wiki nzima sasa si jambo dogo kabisa, inabidi lifikie tamati yake,na ili lifikie tamati yake mimi namshauri RC makonda (kwa ujasiri alioonyesha kwenye uongozi wake tangu akiwa kada UVCCM,DC,RC) atoke hadharani aitishe press conference pale ofcn kwake ili kukata...
Ndg zangu wanabodi,nawasalimu nnyote.
Ni kweli kwamba Mh Rais Magufuli si malaika kwamba,kila afanyalo asipate mtu wa kumkosoa.Hiyo ni hulka ya binadamu na hakika hakuna aliyekamilika.
Lakino ndg zangu,kama angepewa nafasi na kueleza uchafu,upuuzi,wizi na ujambazi uliofanywa kwenye rasilimali...
Iwapo Dr.Slaa aliweza kuachana na Nadhiri (kiapo ambacho hutakikana maishani) ya utumishi wa Mungu,akaingia mtaani akapata mwanamke akazaa naye,then akaachana naye akaenda kwa mwanamke mwingine aliye na ndoa akamzalisha mtoto.Huyu binadamu wa aina hii anapata wapi ujasiri wa kuwanyooshea vidole...
Mchango wangu kidogo tu kwenye hii drama ya Lowasa inayoendelea hapa.
Kuna kipindi ambacho Mungu anapotaka kukunyanyua kutoka ngazi moja kwenda ngazi nyingine,hutumia hata njia za mafarakano ili kutimiza lengo lake.Mimi naamini mafarakano ndani ya ccm ni mpango wa Mungu,ili UKAWA kupitia...
Tulifanya kosa kubwa sana miaka 10 iliyopita,kumkubali JK.Sasa mwaka huu,yawezekana tukafanya kosa kubwa sana iwapo CCM itamkataa Pro.Muhongo kupeperusha bendera yao katika uchaguzi mkuu kwenye nafasi ya Uraisi.
Prof.Muhongo ni zaidi ya tunavyomjua wengi wetu.Huyu ni jembe ambalo halijui...
Faiza Foxy pitia hii
Mzee Mwanakijiji;12107150]Bilioni 900 kwa mwezi? Mbona TZ ingekuwa pepo?
Mwanakijiji ni kweli na hakika kwamba serikali inakusanya Tsh. 800b+ kwa mwezi ndiyo maana Mh.Raisi kasema Tsh.900b.Tatizo lake hataki kumalizia ukweli wa hali ilivyo,kwamba matumizi ya serikali kwa...
Mzee Mwanakijiji;12107150]Bilioni 900 kwa mwezi? Mbona TZ ingekuwa pepo?
Mwanakijiji ni kweli na hakika kwamba serikali inakusanya Tsh. 800b+ kwa mwezi ndiyo maana Mh.Raisi kasema Tsh.900b.Tatizo lake hataki kumalizia ukweli wa hali ilivyo,kwamba matumizi ya serikali kwa mwezi ni...
Mzee Mwanakijiji;12107150]Bilioni 900 kwa mwezi? Mbona TZ ingekuwa pepo?
Mwanakijiji ni kweli na hakika kwamba serikali inakusanya Tsh. 800b+ kwa mwezi ndiyo maana Mh.Raisi kasema Tsh.900b.Tatizo lake hataki kumalizia ukweli wa hali ilivyo,kwamba matumizi ya serikali kwa mwezi ni...
Tafadhali mnijuze,huyu John Pallangyo ndiyo huyo mfanyabiashara mwenye ofisi yake hapo Safari Hotel Arusha ?
Kama ni yeye,mtapata taarifa zake,yeye ni mtu wa aina gani
Ukitaka kujua uhusika wa Albert kwenye hii issue ya escrow,ni pale Stanbic Bank watakapo toa bank statement ya PAP,na PCCB watakapo mkamata singasinga ili awaeleze,ni akina nani walikuja na viroba,magunia nk kuchukua mgao kwenye zile 73b.
Lakini vilevile PCCB watakapo fuatilia na kuuambia...
Duh JF kwa kuchimba ni balaa.Huyo Mao ni mdogo wake Michael Richard Wambura.Zamani hizo alikuwa akiishi hapo jirani na ofc za AAR,ambako sasa kumevunjwa,na mjengo wa nguvu unashushwa hapo.
Kimsingi JK aliumia sana kwa huyu dogo Albert Marwa kuzaa na Bint yake huyo.Huyu Albert amekula sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.