kitu ambacho sikushauri kufanya ndo hicho mkuu yaani utalia, before hujanunua zote wanazotuma ni won ticket ila odds ukishanunua ni mwendo wa kubleed tu wamekula sana hela zangu ndo maana wanataka payment before
Hii Waliifanyaga Remix Kwa Kuchukua Mdundo Mpya Wakatia Mashairi Ya Niite Basi Ya Josline Na Wanatamani Ya Makamua Na Kila Mmoja Akaimba Chorus Ya Mwenzie Na Mashairi Kiasi
Kwa yeyote anayeweza kunisaidia kupata Monitor ya komputer kuanzia inch 24 na kuendelea ani PM, ila iwe na uwezo wa kutumika kama TV pia kwa kuunganisha King'amuzi na DVD Player
Ni nini kinanifanya nikiwa na mwenzangu, yaani nikitumbukiza tu imooo!
Au nikipiga ingiza toa mara mbili biashara inakuwa imeisha?
Na mwenzangu anakuwa bado kabisa anasema namtia shombo!
Wenye ushauri wa kuniokoa, nitashukuru
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.