Line yangu imeibiwa nikawaomba Tigo wai-block ili mwizi asitume meseji kwa watu na Tigo wakaifungia sasa nataka kui-renew Ila nina wiki bado haifanyi kazi mnara unasoma lakini ukipiga unaambiwa line imefungiwa wakati Tigo wenyewe walinipa masaa 48 baada ya hapo line itafanya kazi.
Nimerudi tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.