I will mention some names here, though the list is not exhaustive but I must say the following made my life easier in 2021
mrangi
Zero IQ
mama kubwa
mama D
Bushmamy huyu atakua msukuma
Erythrocyte
Extrovert
Sky Eclat
Mamndenyi juzi sikukuona mndeny
Mzee wa Makanya Mshana Jr
Miss...
Kina Dada mnapokuwa shuleni, vyuoni na hata kabla ya ndoa jihadharini sana na tabia mbaya.
Kuna mwenzenu alipokua chuo alijipiga picha za uchi na kupigiwa simu inayoanzia na 0713. Sasa hivi Ni mmama, ameolewa na ana cheo kikubwa sana serikalini lakini picha zake watu wanazo.
Kila Mara vijana...
Halotel anzisheni special thread tuweze kuwafikia na kutoa malalamiko yetu dhidi ya huduma zenu mbaya.
Mfano. Ukipiga simu huduma kwa wateja haipokelewi.
Unaweza kununua bando ikachukua muda mrefu kabla huduma haijarejeshwa.
Kumbukeni wengi tulihamia halotel baada ya kampuni kubwa kujisahau...
Juzi Kati nikiwa kwenye jiji la maraha niliingia kwenye ofisi moja ya mkoa ya NSSF. Nilichokuta pale kilinishangaza sana, kulikua na watu wazima wawili wengine wote zaidi ya 50 ni vijana under fourty years. Wote wamesimamishwa kazi wamekuja kudai mafao.
Ilibidi yule Askari wa Suma pale getini...
Leo nilikwenda ofisi za NIDA Pwani pale Kibaha. Ili uingie NIDA inabidi kuanzia uhamiaji. Sasa ile nimefika uhamiaji wakaniambia NIDA hawafanyi kazi kisa KORONA. hebu wadau huko mliko NIDA wamefunga ofisi??
1. Nimekaa zaidi ya mwaka mmoja bila kuchepuka.
2. Mwaka mzima sijaingia guest wala sijahonga wala sijavaa kondom.
3. Ni muda mrefu sana pombe haijapita mdomoni mwangu.
4. Nina zaidi ya miaka kumi sijawahi kuibiwa au kupoteza simu.
Huyu kiongozi alikubalika sana Dar es Salaam na nje ya Dar. Taarifa zake na waandishi wa habari ni burudani tosha. Popote alipo mpeni salaam zangu.
Vile vile mtemi muuza sura kamanda Kova mpeni hi. Nae alikubalika sana.
Sikumbuki tukio la utekaji kipindi cha Tibaigana. Kipindi cha Kova nacho...
Yangu ni machache tu.
Wanawake wa Kitanzania walioolewa wanakera sana. Ukimwambia kajiandae tutoke tukakae mahali tukale mbuzi choma, ataingia ndani akitoka utamwona na bonge ya kitenge cha wax na kilemba juu.
Basi mkifika sehemu husika maongezi yake ni ligi tu. Mbona hivi. Mbona yule mwanamke...
Waungwana wenzangu. A salaam aleykhum.
Napenda kuchukua mkopo aidha TALA au BRANCH. ni wapi kati ya hawa kuna unafuu wa interest rates.
Narudisha baada ya muda gani? Mwenye kuwajua tafadhali. Nataka kwenda Rombo xmas. Sina pakukopea
Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Sarah Msafiri, ameagiza watoto wote wanaokaa kwenye vibanda vya sinema nyakati za usiku na wakati wa masomo, kukamatwa na kuchukuliwa hatua kali.
Raia wenzangu, kuna anayejua namba ya simu ya Mtendaji Mkuu wa Tigo tumfikishie matatizo tunayopata na huu mtandao wa Tigo. Hiyo team ya Customer Service aidha hawajui watendalo au ni wajeuri. Something has to be done about the Customer Service team.
Salaam aleykhum waungwana.
Juzi baada ya CAG kustaafu baada ya kipindi chake cha miaka mitano kuisha, niliona watu wengine wakisema CAG ana miaka 58 hajafikia umri hata wa kustaafu kwa hiari, kwani kustaafu kwa hiari ni miaka 62 na kwa mbinde ni miaka 65.
Hebu mlio Dar es Salaam mtujuze maana...
Hii taasisi ya RITA sijui wameajili watu wa namna gani. Kuna baadhi ya majina ya wanaoomba mikopo ya elimu ya juu wameyakosea pamoja na kwamba walihakiki vyeti na kupiga mihuri. Nimewapigia kwa namba zao 022 2924180/1 na 0800117482 namba zote hazipokelewi tangu saa mbili mpaka hii saa nane...
Ndugu zangu kwa nia njema kabisa naomba vilipo vyuo vya kuchukulia mafunzo ya u sheikh au hata u ustaadh au u maulamaa.
Natanguliza shukrani povu sitaki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.