Kweli ww kigagula unamrekodi mwanao
halafu unatuletea hapa eti malaika kumbuka shetani yupo ktk kila umri dhana ya kuwa kila
mtoto ni malaika ni muflisi
ha ha ha kuna kisa cha mfereji wa maya kule same uliopangwa kupeleka maji sehemu.ya Igoma ili watu wa milimani washushwe tambarare kulima pamba wazee wa kipare wamwambia DC wa kiingereza hautafikisha maji Igoma kwa kuwa hawako tayari kushuka tambarare kuumwa na mbu. kweli mkoloni mwingereza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.