Search results

  1. joramjason

    ITV yawaumbua DARUSO kuhusu nyufa za hosteli ya Magufuli

    Mashine ya ku inject expansion joint materials
  2. joramjason

    Makonda, onesha Vyeti vyako halali wanaokutuhumu waaibike

    Kwani hii msg mlikuwa mnaandika wangapi? Sema mimi sio sisi. Ndo maana mwishoni umemaiza my take. ACHA MANENO WEKA VYETI, BLAAAH BLAAH SITAKI KUSIKIA ........
  3. joramjason

    Paul Makonda afika mahakamani na kumkataa hakimu anayesikiliza kesi yake

    Unapoteza muda kufafanua hawa nao itakuwa walirudia darasa la nne.
  4. joramjason

    Milton Mahanga: RC Makonda jisafishe na kashfa hii au jiuzulu

    Kama nyeupe iwe nyeupe pande zote.
  5. joramjason

    Madawa ya Kulevya Awamu ya III: RC Makonda amkabidhi majina 97 Kamishna Mkuu wa madawa ya kulevya

    Hivi afisa akichelewa anafanywaje? Just thinking loudly.
  6. joramjason

    Madawa ya Kulevya Awamu ya III: RC Makonda amkabidhi majina 97 Kamishna Mkuu wa madawa ya kulevya

    Na aliathirika kwa pombe utapigana na TBL wafunge kiwanda. Samaki mkunje angali mbichi.
  7. joramjason

    Kitendo cha hatari ulichowahi kukifanya kwenye mapenzi na kikakushangaza mwenyewe

    Si bado mzima na kaandika thread hii nadhani jibu .....................
  8. joramjason

    Ushauri: Mkewe kawa mkali baada ya kupewa kondomu na watoto walizotoa kwenye gari

    Umbea bwana sasa habari za jirani wewe zinakuhusuje?
  9. joramjason

    Naombeni ushauri kuhusu huyu msichana, sijaelewa lengo lake

    Hebu nifafanulie hapo nilipoweka alama nyekundu maana inawezekana gono ulipewa na mwingine. Siku nyingine ndo ujue umuhimu wa BULL
  10. joramjason

    TTCL imesababisha nifukuzwe Kazi

    Huwa tunafanya Due Diligence kwanza we unkurupuka kwa kusikia matangazo. Pole sana.
  11. joramjason

    Eti nimshike kote lakini kifuani `no`

    Ndos shida ya kuuziwa mbuzi baada ya kuskia mlio. wenzio wanatest kwanza na kutikisa wavu ndo wanaoa.
  12. joramjason

    USHAURI: Prof. Mbarawa, chukua marubani watano tu ATCL

    Mmmmh watu mna maneno sana
  13. joramjason

    Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

    Chukua ramani ya nyumba ndo zidisha na hiyo bei sio ukubwa wa kiwanja
  14. joramjason

    Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

    Manyusi formula is applicable worldwide. Ingawa kwa sasa gharama zimepanda hadi 600,000 per smrt. Wengine wanatoa tu uzoefu wao wa ujenzi
  15. joramjason

    Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

    Dogo hilo boma tu nyumba yenyewe hujaanza bado. Rudi hapa kusimulia ukishafanya finishing.
  16. joramjason

    Misamiati na Misemo iliyotia fora wiki hii kuhusu Escrow

    Sijawahi kutana na Profesa muongo kama huyu. By Kigwangala
Back
Top Bottom