Wanaume tuwe na uelewa, kama binti umemkuta hana bikira si wako, xo kuna mwenza wake aliyemtoa bikira na hawezi kumnyima hata ck moja licha ya kuwa haishi naye kamwe, kwa hiyo ukiona kakuacha ujue kapata mwingine kama alivokuja kwako na kumwacha mwanaume mwenzako akiwa na maumivu kama...
zeekea kwenu bhna kwanza huna adabuwakati ulipo dogo anapumzika akupe ya 2 tena, angekuona unachochati tayari angekuwa ashakupandilia haraka sana maana unapoteza muda tu wa game, hebu mpe dogo bhana
Hi! mr hydrogen nimekusoma ila si unajua mimi sijazaliwa nacho? if you can do correct me where did I mistaken please, or b'cause I'm not to your side? correct it
kaka nikiwa na laki 8 naingia ukrain, pia visa kiasi gani na residence permit gharama yake ni kiasi gan, pia nikifika huko lazma nifike ubalozini kureport?
this is a golden chance, JPM do it b'couse never happen again ever, do'nt listen what's what jelous shout against, HOPE OUR DESTINATION LOOK GREAT AND PRECIOUS, watanzania tusiwe watumwa kamwe na mabeberu kifikra
hata German haikujengwa kizembe bali kuna watu walidhubutu kutokusikiliza kelele za watu wenye fikira fupi, kula nyama huku akilala kwenye tembe, sio tatizo letu ila ni fikira fupi tu
Kama ndala? ndo mara ya kwanza kusikia. ila kama ivo wenzetu ULAYA wana wazifi wa stress bhn. tukiweza na sisi tumwambie mjomba ateue waziri wa kudhiti ndala na maringo kwa wahusika, MKUU HANA NOMA KWA HILO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.