Nyamafu kweli wewe dada. unasema alikuwa anakusumbua sana huyo kijana wako (hawara hana talaka) bila shaka usumbufu wake uliujua,ukainua makongoro yako kwenda kumsikia baada ya kuona kwa simu haitoshi,kama ulimtolea nje na jamma akayarecord maongezi yenu kwanini akuache (ukatoa appointment ya...
Isije kuwa ni mwenzetu hapa Melboune unayesumbua na bibi wa kizungu afu unakuja kutishia watu huku JF,una bahati id zimefichwa lazima ningekuumbua maana hii story inafanana sana na ya huyu MTZ mwenzetu.
:llama:ukiona hujui undani wa jambo ni busara kupita tu,kuwa ex seminarian kama wengine walivojitutumua hakukuongezei ufahamu wa kanisa na kanuni zake. Kardinali yupo sahihi na wala hapingani na msimamo wa TEC.
Kitendo cha wanawke wa kimachame kuogopwa si tu na vyasaka bali na hata vijana wenzao wa Uchagani,kumewafanya wawe na bidii ya kujitafutia riziki. Kwa wanawake wengi wa eneo la Hai (Machame kwa ujumla) kwao kitu kuolewa ni jambo la ziada sana tofauti na makabila mengine. Ni kwa msingi huo wao...
Upo sawa mabinti walio wengi vyuoni kugawa mgegedo hovyo ni jambo la kwaida sana. Mie ilifika mahali nikahisi labda vyuoni kuna kozi inafundishwa ya initwa KUGEGEDWA, Kumbe hata haipo.
Kuwa msomi si idadi ya madarasa ulipitia tu,hiyo haitoshi hata kidogo bali ni namna ya kuyatambua mazingira yanayokuzunguka na hata yasiyokuzunguka na kuyamudu hasa. Mfano. Kama professor anafungua bar na raia wa kawaida akafungua bar na hao wawili wakayamudu mazingira yao kwa kiwango sawa,je ni...
Ugonjwa wa Dr.Kitila Mkumbo wa kumshabikia Zitto baadala ya itikadi ya chama na sera zake asione kuwa watanzania wote wapo hivyo. Hili ni kosa kubwa ambalo wanalo wasomi wengi hapa nchini wa kudharau wananchi wa kawaida kwa kujiaminisha kuwa wapo sahihi. Si dhambi hata kidogo mtu kushabikia...
Inawezekana mleta mada katania,lakini kiukweli wake za watu jamani mmezidi,hivi kuna nini? kwani ni lazima ukipata namba ya njemba utake mgegedano? hapa nilipo kuna vijibinti ndo vimeolewa tu masikini ya Mungu kama vitatu vinataka nivigegede. Mie nahisi kuna kaugonjwa jamani. EPUKANA NAYE HUYO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.