Mandla kama ungekuwa wewe ungeweza kukaa kimya? pengine kwa udogo wa hadhi yako ungeweza kukaa kimya, Lakibi siyo Warioba Mwanasheria mkongwe, Jaji, Waziri Mkuu Mstaafu, Makamu wa Rais nk. Huyu siyo mtu wa kutukanwa na Komba nk halafu abaki kimya.
Nafuatilia mwenendo wa Bunge la Katiba kwa kweli nasikitishwa na namna wanavyoenenda bila kujali muda. Kwanza wanachelewa kuanza mjadala,lakini pamoja na kuchelewa huko bado wanatumia muda mwingi kubishana kwenye hoja ambazo hazi tija kabisa! Kwa mfano wametumia zaidi ya dakika 45 kubisha juu ya...
Kumbukumbu zangu zinaonesha kwamba aliwahi kumpiga fitna rafiki yangu fulani (msajili wa hati msaidizi) pale wizarani akishikiza Katibu Mkuu amtimue kazi. Rafiki yangu alisimamishwa kazi kwa muda mrefu hatimaye akarudishwa. Kisa eti amekataa kusajili hati nje ya utaratibu. Mwisho wa ubaya aibu....
Kumbe kwako uandishi bora ni ule unaoandika kile ukipendacho ww!!!! Kama ndo hivyo bora uanzishe gazeti lako la udaku kabla hujafa kwa presha. Piiiiipopppppoz pawa.....
Briliant observation comrade friend! Nakushauri uwasilishe maoni haya kwenye Tume. google tume ya mabadiliko ya katiba hapo utapata email address yao then drop maoni yako hapo! haya ndo maoni wanajamvi tunatarajiwa tuyatoe tuachane na siasa lets be objective!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.