Wakuu habari ninaomba ushauri nimemaliza form six Nina div 2 ya 10 cbg nimepangiwa bsc in agribusiness ninataka nikabadilishe hio kozi nikasome Agriculture general au agronomy naomba ushauri wenu juu ya maamuz haya mkizingatia sina background na economic hata ya olevel also marketing ranks ya...
Wakuu habari zenu namshukuru mungu kwa afya na uzima ninaomba ushauri nimechaguliwa chuo
Bsc agriculture economics and agrb-SUA
Bsc In laboratory science and technology-must(mbeya)
Nimesoma cbg naomba ushauri wakuu ni confirm kozi gani ambayo ipo na umuhimu sana kulingana na nchi yetu...
Wakuu naomba msaada kati ya hizo kozi mbili ipi ni kozi bora na yenye umuhimu sana kwenye maendeleo ya viwanda na aina za career mtu anazoweza kuchagua akisoma kozi hizo
IPI kati ya kozi hizo hapo juu inahitajika zaidi viwandani katika soko La sasa pia yenye wigo mpana kwenye other field katika ajira na kujiajiri
Naomba kuwasilisha
Wakuu naomba kuuliza je MTU aliyesoma cbg anaweza kupata scholarship kusomea udaktari nje ya nchi kuna rafiki yangu kamaliza six ana div I-9 chem-c, bio-c ,geo-c, anataka Ku apply vyuo vya nje kama Kuna uwezekano mnijuze na kama unavifahamu na vyuo vyenyew naomba mnitajie Naomba kuwasilisha
Wapendwa naomba kuulizia gharama za kujisajili PC kidato cha sita ada za vituo na practical kwa masomo ya sayansi jumla inaweza kuwa kiasi gani naombeni mchanganuo na je unaweza kulipa kianzio kwanza kwenye kituo
Wapendwa naomba kuulizia gharama za kujisajili PC kidato cha sita ada za vituo na practical kwa masomo ya sayansi jumla inaweza kuwa kiasi gani naombeni mchanganuo na je inaweza kulipa kianzio kwanza
Muswada ulishapita bungeni je kuna anayefahamu chochote je ishasainiwa? au itaanza lini?
Wenye Diploma waula,sasa kuanza kupata mikopo
11 months ago Wenye Diploma waula,sasa kuanza kupata mikopo
Serikali imewasilisha pendekezo la mabadiliko ya Sheria ya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu ili...
Ndugu zangu habari zenu mm ni kijana nliehitimu masomo ya kidato cha NNE 2016 naomba ufadhili ili niweze kusoma clinical medicine mwaka huu kutokana familia yangu kuwa duni
Nitashindwa kumudu gharama za masomo kwa yeyote mwenye uwezo wa kunisaidia au kama unajua taasisi yoyote inayotoa mikopo...
Ndugu zangu habari zenu mm ni kijana nliehitimu masomo ya kidato cha NNE 2016 naomba ufadhili ili niweze kusoma clinical medicine mwaka huu kutokana familia yangu kuwa duni
Nitashindwa kumudu gharama za masomo kwa yeyote mwenye uwezo wa kunisaidia au kama unajua taasisi yoyote inayotoa mikopo...
Mimi ni kijana niliehitimu masomo yangu ya kidato cha nne mwaka 2016 namshukuru Mungu nilifaulu nilipata Div II ya points 21.
Nilifanikiwa kupangiwa PCM shule ya Lugufu mkoani Kigoma lakini wazazi wangu walishindwa kunipeleka shule kutokana hali duni.
Kwa sasa nipo nyumbani tu sijui cha...
Mimi ni kijana niliehitimu masomo yangu ya kidato cha nne mwaka 2016 namshukuru mungu nilifaulu nilipata div II ya points 21,nilifanikiwa kupangiwa PCM shule ya lugufu mkoani kigoma lakini wazazi wangu walishindwa kunipeleka shule kutokana hali duni kwa sasa nipo nyumbani tu sijui cha kufanya...
Mimi ni kijana niliehitimu masomo yangu ya kidato cha nne mwaka 2016 namshukuru mungu nilifaulu nilipata div II ya points 21,nilifanikiwa kupangiwa PCM shule ya lugufu mkoani kigoma lakini wazazi wangu walishindwa kunipeleka shule kutokana hali duni kwa sasa nipo nyumbani tu sijui cha kufanya...
Mimi ni kijana niliehitimu masomo yangu ya kidato cha nne mwaka 2016 namshukuru mungu nilifaulu nilipata div II ya points 21,nilifanikiwa kupangiwa PCM shule ya lugufu mkoani kigoma lakini wazazi wangu walishindwa kunipeleka shule kutokana hali duni kwa sasa nipo nyumbani tu sijui cha kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.