Mkuu Mimi Nina div 2 ya 10 cbg
Chem-C,geo-C,bio-D,Bam-s,g.s-E
For agriculture general nakidhi maana nimechaguliwa aea nahisi itanisumbua coz cna msingi mzuri wa uchumi na pure
Lengo kubwa ni kuajiriwa but nafahamu cio easy kipindi cha msoto kitakuwepo ndo maana am looking for multporposes course ambayo ntaweza kujiajiri huku nasikilizia steping stone
Wakuu habari ninaomba ushauri nimemaliza form six Nina div 2 ya 10 cbg nimepangiwa bsc in agribusiness ninataka nikabadilishe hio kozi nikasome Agriculture general au agronomy naomba ushauri wenu juu ya maamuz haya mkizingatia sina background na economic hata ya olevel also marketing ranks ya...
Wakuu habari zenu namshukuru mungu kwa afya na uzima ninaomba ushauri nimechaguliwa chuo
Bsc agriculture economics and agrb-SUA
Bsc In laboratory science and technology-must(mbeya)
Nimesoma cbg naomba ushauri wakuu ni confirm kozi gani ambayo ipo na umuhimu sana kulingana na nchi yetu...
Wakuu naomba msaada kati ya hizo kozi mbili ipi ni kozi bora na yenye umuhimu sana kwenye maendeleo ya viwanda na aina za career mtu anazoweza kuchagua akisoma kozi hizo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.