Abunuwas was the great...zipo nyingi sana hadithi zake na zilikuwa na mafunzo kweli...
Kuna moja abunuwas nyumba yake iliungua moto,akifikiria atafanyaje na yale majivu ya nyumba yake akapata jibu,akayapakia magunia kibao ya majivu kwenye punda akafanya safari ya kwenda nchi ya mbali, kufika...
Binafsi nina uchungu sana na aina yoyote ya wizi...ndio mana nchi nyingine adhabu zake zinakuwa kali...Kibongo bongo hawa bodaboda na hawa wanaoendesha hizi boxer 150..ni balaa, pindi akidakwa mmoja wao nitakuwa tayari kutoa ushirikiano wakudemostrate jinsi ya kutoa kipondo kwa kibaka.
Wamekuwa...
Watu wanaenda kula, kamera ya nn teacher?! Chamsingi ni hzo hotuba mbili za waheshimiwa na tumezisikia imetosha! Wacha waendelea kugonga msosi wao!
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.