Ndugu JF Senior Expert Member, yawezekana umelalamikiwa na hao unaowaita wafanyakazi wa NSSF kuhusiana na udini wa Dr Dau kama unavyodai. Na hii ni kwa sababu Mkurugenzi huyu hakimpiti kipindi cha SWALA hata kama kuna wateja. Ikifika muda wa ibada anaacha ofisi kwa muda na kwenda kutekeleza...
Kama mimi ningekuwa Amiri jeshi mkuu, au angalau PM, ningeamuru kontena hizo zipelekwe sehemu kubwa iliyo wazi zimwagiwe petrol na kupigwa kiberiti kama vile zile silaha haramu sinazokusanywa kule Kigoma kutoka kwa raia au wakimbizi zinavyofanywaga! Lakini #~&%$£"@##!!!
Hili sasa ni balaa. I can say that here, there are two tings involved. It's either these men have been bewitched by the mama or the mama is more qualified in satisfying the two men on the 'mat'. If the two men are bewitched it's okay but if the woman is more qualified in certain games on the...
Nakerwa na tabia ya watu fulani kuongea kwa sauti kubwa kwa simu ya mkononi kiasi cha kudraw attention ya wengine, wakashindwa kuconcentrate namambo yao kipindi hicho wakimsikliza yeye. Nadhani hii si uungwana. Au vipi?
"Yawezekana huyo baba kuna vitu alivyowahi kuwa anampa au kumfanyia mambo fulani binti yake huyo vilivyokuwa vikikonga moyo wake mtoto wa kike huyo. Tena binti huyo kabaini kuwa vitu hivyo au mambo hayo yamekuwa yakitolewa kwa mama yake tangu yeye binti akiwa mdogo"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.