Watu wanaharibu sana lugha ya taifa,Mtangazaji/MC wa shughuli muhimu kama hiyo hawezi hata kuongea kiswahili fasaha aibu kubwa.
Hivi hawa watu wanaoandaa hizi shughuli huwa hawatazami wenzao huko mbele wanafanyaje???hata kama hutofikia huko angalau hata 55% yao sio mbaya.
Kwanza 5mil haitoshi bajaji,labda kama utanunua used kutoka kwa mtu.
Hesabu ya bajaji ni 15000-20000 kwa siku na kwa wiki ni 105000-140000.
Hesabu ya bodaboda ni 7000-10000 kwa siku na kwa wiki ni 49000-70000 kwa bodaboda mbili 2x(7000-10000)--->2x(49000-70000) kwa wiki.
Service:bajaji mpya ni...
Huyo mwanamke si mtu mwema hata kidogo pia ana nia mbaya na mumewe kwani daktari amewashauri nini wafanye kwa afya ya ndoa,mi naona MUME awe mbali na huyo mwanamke kwani si mtu mwema!!
nb:Kabla haikuwa dhambi baada ya ndoa imekuwa dhambi"
Nilivyo fyoko fyoko nikauliza vipi mlianza kuzini kabla...
Torrent site www.kat.ph utapata kila kitu mkuu
Download music, movies, games, software! The Pirate Bay - The galaxy's most resilient BitTorrent site pia unapata
lazima uwe umeinstall uTorrent ili uweze kudownload kirahisi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.