Lema kajipeleka Mwenyewe Gerezani kakataa kutoka kwa dhamana sasa anataka atoke! Amechoka kushikwa masaburi yake na ma-cameron ya Gerezani! Hahahahaah ngoja upate joto kwanza Lema ukitoka huko tutajua tu mwendo utabadilika!
Lema kashikwa Masaburi gerezani anataka kutoka. Mahakama imesema aendelee kushikwa masaburi yake na Wajanja waendelee kum-cameron hadi tarehe 14/nov/2011
Lema alikataa kutoka gerezani leo anataka atoke kwa nguvu/kwa lazima! Akome kuleta ujinga wake! Naipongeza mahakama kwa kumusotesha rumande hadi tarehe 14/Nov/2011
Wakazi wa Ushwahilini dar wanashangaa kila duka la mchaga kuna bendera ya Chadema! Hilo bado lina wapa utata kujua Chadema ni chama cha aina gani! Hawakifahamu vizuri wanaona kama Chadema ni kikundi cha Watokao Kasikazini hasa akina Masawe,Mbowe,Mtei,Mushi,Lema.........ndesamburo!
Naloli heshima yako Mkuu! Mchango wako umetulia sana sana! Tunataka Michango kama hii hapa JF! Tungechangia hivi bila unazi wa wa Ki-CDM au Ki-CCM JF ingewasaidia Watanzania! You are the Great Thinker of the Year 2011! Hongera sana!
Acha ujinga wa kumsumbua mod sio mjomba wako huyo hadi umwambie afute thread inayo ongea ukweli,Hebu ni kuulize hivi Chadema na Conservative sio marafiki? Kama rafiki yako ni shoga na anatetea ushoga lazima utoe msimamo wako! Chadema msikae kimya kwa hili,je ulizeni urafiki wenu na hao...
Mbona hata kwenye Mou ya Mkataba wa Conservative na Chadema wamesaini makubaliano ya kulinda haki za binadamu ikiwemo kutambua ushoga! Chadema hawana usemi juu ya hili lazima wakae kimya!
Ndugu zangu wa JF naomba muamini na muendelee kuamini kuwa Pesa ni mbaya! Jana Mama Nkya wa Tamwa kajikanyaga sana juu ya Ushoga eti lazima mambo kama haya yaongelewe kwenye katiba wananchi waamue wenyewe kama iruhusiwe au la! Yani Mama Nkya anaweka Rekodi kwa wafadhili wake hasa UK kuwa lazima...
Safi kabisa mh membe,CDM ni marafiki wa Conservative anakotoka Cameron,msimamo wa Chadema ni upi kwa hili la ushoga kwani mashoga zao Conservative wanatetea ushoga!
Suala la Udini hasa Ukiristo ndani ya Chadema kwa kushirikiana na Kanisa Katoliki kulikanusha lazima Uwe kichaaa! Chadema inanuka harufu mbaya ya Ukiristo hasa Kanisa Katoliki!
Umeleta thread nyingine baada ya ile ya Kwamba mnajiandaa kumzomea Membe akija USA? Acha ujinga wako hapa JF tunaelewa kuuawa kwa Gadaf ni kwa ajiri ya Marekani kutaka mafuta ya watu wa Libya na sio longo longo zako unazoleta hapa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.